Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Pamoja na kwamba hawa wabunge wamekiuka taratibu halali za chama lakini wameupima upepo wakaona kwa kasi hii ya JPM uwezekano wa wabunge wa Upinzani kurudi ni mdogo yaani hawana uhakika kwa maana hiyo ni kwamba wameona bora watunze hata wanachopata kwa. Ajili ya baadaye ukizingatia wengine wanakatwa makato mengi ya mikopo kodi bodi ya mkopo na mingine mingi wahurumiwe