Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
Hahahha...kava za maua tena....zile siyo nakshi nakshi tu za kuwapendezesha wadada...?10. Wenye makava ya maua na holders
Hahahha...kava za maua tena....zile siyo nakshi nakshi tu za kuwapendezesha wadada...?10. Wenye makava ya maua na holders
Hahahha...kava za maua tena....zile siyo nakshi nakshi tu za kuwapendezesha wadada...?
Unaweza usiwe msumbufu Ila ye akakuona tu msumbufuHaiwezi tokea nikawa msumbufu kwa mume wangu, sina karama ya usumbufu hata kwa bahati mbaya...
Sio kweli, mambo!ahsante kwa kutoa mfano hai, ndio ninyi ambao waume zenu watapata tabu sana (joke)
Poa hujamboSio kweli, mambo!
Sijambo kabithaPoa hujambo
Manyoya ya paka sijui Sungura yuleNa viatu vya manyoya
Ah.. Kibegi sifanyi mishe zangu bila , naroll town na kibegi nikiwa show na kibegi.Hebu acheni hizo.
In my normal outing nakibebaga sana tu, kama nimetoka mchana naenda home kuwasabahi nakibeba naweka vya kuweka pamoja na sweta maana huku nilipo hali ya hewa nayo mtihani ikifika jioni, kama ni sokoni naweka wallet ya hela na mifuko yangu ya kubebea vitu safi kabisa.....
Handbags nabeba ofisini tu.
Wenyewe wanasema eti ni mambo ya fashioniManyoya ya paka sijui Sungura yule