Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Uchumba ni kivuli cha ndoa wana saikolojia mambo unayoyaona kipindi cha uchumba ukiingia kwenye ndoa utayakuta mengine makubwa zaidi ukiona mchumba wako Ana Tabia zifuatazo tambua ukioa au kuolewa ndoa yako itakuwa ni ya shida sana.
1. Ana Tabia kupendwa kusikilizwa yeye kuliko yeye tuu yaani mawazo yake anaona sawa yako sio sawa
2. Ukimwambia umekosea anaanza kukununia bila sababu ya msingi au anakukasirikia
3. Mkigombana kidogo anakimbilia kusema mara ohoo sijui tuachane
4. Anashidwa kuficha madhaifu yako yaani vitu ambavyo akusitiri yeye ndo anakwambia ndugu zako
5. Hakubali kama Amekosa pale anapoona amekosea
HAYA ENDELEAAA
1. Ana Tabia kupendwa kusikilizwa yeye kuliko yeye tuu yaani mawazo yake anaona sawa yako sio sawa
2. Ukimwambia umekosea anaanza kukununia bila sababu ya msingi au anakukasirikia
3. Mkigombana kidogo anakimbilia kusema mara ohoo sijui tuachane
4. Anashidwa kuficha madhaifu yako yaani vitu ambavyo akusitiri yeye ndo anakwambia ndugu zako
5. Hakubali kama Amekosa pale anapoona amekosea
HAYA ENDELEAAA