Ukiona maisha yako ni magumu basi jua kuwa kuna Mtu amekuchezea (amekuroga)

Habari zenu,

Waswahili husema wendawazu ni kufanya jambo ulilofeli awali kwa namna ileile lakini ukitegemea ushindi.

Watu wengi Afrika wana bidii ya kutafuta fedha au maisha lakini maisha yenyewe hawayaoni. Afrika wananchi hurogana ili tu kuipa furaha mioyo yao ya wivu.

Haijalishi umesoma au hujasoma, haijalishi umezaliwa mjini au kijijini.

Kama unaishi maisha yasiyo na furaha na magumu basi pigia tu mstari kuwa tayari umesharogwa na ukarogeka. Huu ndio ukweli ambao wengi hawaupendi kuusikia.

Hata maandishi matakatifu yamekiri kuwa kuna uchawi. So ukiona unapinga kuwa hakuna uchawi basi wewe ni kafiri.

Ukiona umevurugwa hujui nini chakufanya basi pigia mstari kuwa tayari umesharogwa.
Unataka kutuaminisha kuwa maccm wametukalia vibaya!
 
Yaan Wanadamu ni watu wa ajabu Sana mtu unaenda kanisani au msikitini lakni hao hao ndio wanaamini Waganga kama Mungu wao ila nionavyo Mimi Shetani atakuwa bora kuliko sisi wanafiki mchana kwa Mungu usiku Kwa Waganga ila yeye alizingua kabisa akafukuzwa mbinguni hakuwa manafiki
 
Sometimes hiyo ni njia ya kujipa moyo. Unakuta mtu ana dreams kubwa lakini hazifanyii kazi akitegemea maajabu.. Mfano mimi nilikuwa na ndugu yangu alipata pesa akafungua biashara kwa kutaka kuwakonga wabinti wenzake, duka kubwa frem kubwa ndani ina private ofisi, choo, kodi yake tu ni hatari. Nikamwambia hivi wewe unaanza biashara hii kodi mbona kubwa, jibu alilonipa sikurudia uliza. Kuendesha ile biashara cost ilikuwa kubwa sana kuliko mapato haikuchukua hata mwaka ikafa.

Maisha yake yakawa magumu, akaokoka, yeye ikawa ni kuomba tu Mungu amtendee miujiza. Hatafuti kazi waala hataki kuanzia chini na anadai karogwa. Yeye anaomba tu, ukimuona anakwambia flani ndiyo kaniroga kila mtu kuanzia ndugu, majirani, mwenye nyumba wake wote wachawi na ndiyo chanzo cha maisha magumu yake.

Sometimes failures zetu tunataka kuzibebesha watu. Maisha yake yalikuwa magumu hasa. Lakini mara zote ilikuwa anadai karogwa. aliuwa hafikirii huwezi kuwa kwa mwezi unaingiza kipato c halafu matumizi yako ni L ukategemea hutoanguka.

Ukifikria sana kuwa una maisha magumu kwasababu umerogwa, muda mwingi unakuwa unakosea. Una maisha magumu kwasababu huna connection, au hujajatafuta vya kutosha au umeridhika na maisha hayo magumu. Sikatai uchawi upo hata umetajwa kwenye vitabu vitakatifu ila watu wnautumia kama njia ya kujipa moyo kuwa wamefail kwasababu wamerogwa kama ambavyo vijana siku hizi tunajipa moyo kuwa kila kijana aliyefanikiwa anauza unga ila kujustify failures zetu.
Noted
 
Watanzania ni wanafiki sana. Wengi wanakwenda kwa waganga lakini hapa wanaandika hakuna uchawi au mtegemee Mungu wako.

Kuna wanaonasa kaka wa watu kwa uchawi mpaka wanaolewa. Lakini siku ya send off wanasema asante Yesu, like fuvu la kondoo aliloliacha pangoni au kwenye kaburi la mtoto mchanga halitaji.
woiiii
 
Bila kupepesa macho naunga mkono hojaaaaaaaaaaaaaa aslimia mia miamooooooja coz hata mimi ni muhanga na yalinikuta hayo na waganga kadhaa walikuwa wanashindwa kuniagua mpk nilipompata mzee mkinga bwana weeeee siku hiyo hiyo nilikuja kuitwa kwenye mchongo nikaingiza laki tano wakati kabla ya hapo nilikuwa sijaliwi na mtu yeyote kila mtu alikuwa akiniona kama mavi tu mtalaam aliniambia nilifungwa vibaya mbo kiasi ambacho nilikuwa nasuburia kufa tu na baada ya hapo ni mwendo wa kushika ela tu ingawa kunavijikwazo huwa vinajitokeza lkn namtafuta mtaalam tunayamaliza.

Nb.wabaya watu mkuuu
Aisee
 
Hakuna uchawi uchawi ni aina ya uzembe utokanao na uwezo mdogo wa kufikiri, kurogwa ni uzembe mkubwa unao ishi kwenye vichwa vya wajinga wachache. Ukweli ni kwamba uchawi haupo
 
Kiukweli omba yasikukute Tena ukiwa na familia Yan baba wa watoto kadhaa na Shule kila mtoto unalipa zaid ya1m aisee kila mtu, kila kitu, kila pahala utakapopita Yan unakuwa umeoza vibaya.

MUNGU yupo na anafanya kazi Ila anachelewa kujibu maombi japo tunaamini ukifika wakati sahihi anatenda muujiza.

Upande wa Pili wa Giza ni muhimu aisee kwani vyote vimeumbwa na vimeletwa na MUNGU mwenyewe shida ni kuvitumia vibaya.
 
Sometimes hiyo ni njia ya kujipa moyo. Unakuta mtu ana dreams kubwa lakini hazifanyii kazi akitegemea maajabu.. Mfano mimi nilikuwa na ndugu yangu alipata pesa akafungua biashara kwa kutaka kuwakonga wabinti wenzake, duka kubwa frem kubwa ndani ina private ofisi, choo, kodi yake tu ni hatari. Nikamwambia hivi wewe unaanza biashara hii kodi mbona kubwa, jibu alilonipa sikurudia uliza. Kuendesha ile biashara cost ilikuwa kubwa sana kuliko mapato haikuchukua hata mwaka ikafa.

Maisha yake yakawa magumu, akaokoka, yeye ikawa ni kuomba tu Mungu amtendee miujiza. Hatafuti kazi waala hataki kuanzia chini na anadai karogwa. Yeye anaomba tu, ukimuona anakwambia flani ndiyo kaniroga kila mtu kuanzia ndugu, majirani, mwenye nyumba wake wote wachawi na ndiyo chanzo cha maisha magumu yake.

Sometimes failures zetu tunataka kuzibebesha watu. Maisha yake yalikuwa magumu hasa. Lakini mara zote ilikuwa anadai karogwa. aliuwa hafikirii huwezi kuwa kwa mwezi unaingiza kipato c halafu matumizi yako ni L ukategemea hutoanguka.

Ukifikria sana kuwa una maisha magumu kwasababu umerogwa, muda mwingi unakuwa unakosea. Una maisha magumu kwasababu huna connection, au hujajatafuta vya kutosha au umeridhika na maisha hayo magumu. Sikatai uchawi upo hata umetajwa kwenye vitabu vitakatifu ila watu wnautumia kama njia ya kujipa moyo kuwa wamefail kwasababu wamerogwa kama ambavyo vijana siku hizi tunajipa moyo kuwa kila kijana aliyefanikiwa anauza unga ila kujustify failures zetu.
Mkuu kwa jins ulivyoelezea hiki kisa inanipelekea kuanza kuamin kuwa wew ndio ulimroga huyo jamaa maana kuna sumsort of blackshitts ndan ya storytelling yako, hahahahaaaa!!!!
 
Hakuna uchawi uchawi ni aina ya uzembe utokanao na uwezo mdogo wa kufikiri, kurogwa ni uzembe mkubwa unao ishi kwenye vichwa vya wajinga wachache. Ukweli ni kwamba uchawi haupo
Ngoja ulishwe kipande cha nyama kibichi, kinachowekwa ukeni usiku kwa siku saba, ndo utaleta thread yako unayoijua mwenyewe.
 
Mkuu kwa jins ulivyoelezea hiki kisa inanipelekea kuanza kuamin kuwa wew ndio ulimroga huyo jamaa maana kuna sumsort of blackshitts ndan ya storytelling yako, hahahahaaaa!!!!
Inawezekana pia, mimi ni nani nipingane na mtazamo wako?
 
Habari zenu,

Waswahili husema wendawazu ni kufanya jambo ulilofeli awali kwa namna ileile lakini ukitegemea ushindi.

Watu wengi Afrika wana bidii ya kutafuta fedha au maisha lakini maisha yenyewe hawayaoni. Afrika wananchi hurogana ili tu kuipa furaha mioyo yao ya wivu.

Haijalishi umesoma au hujasoma, haijalishi umezaliwa mjini au kijijini.

Kama unaishi maisha yasiyo na furaha na magumu basi pigia tu mstari kuwa tayari umesharogwa na ukarogeka. Huu ndio ukweli ambao wengi hawaupendi kuusikia.

Hata maandishi matakatifu yamekiri kuwa kuna uchawi. So ukiona unapinga kuwa hakuna uchawi basi wewe ni kafiri.

Ukiona umevurugwa hujui nini chakufanya basi pigia mstari kuwa tayari umesharogwa.
Ukiishi kwa kumhofu MUNGU huwezi kurogwa!!
 
Sometimes hiyo ni njia ya kujipa moyo. Unakuta mtu ana dreams kubwa lakini hazifanyii kazi akitegemea maajabu.. Mfano mimi nilikuwa na ndugu yangu alipata pesa akafungua biashara kwa kutaka kuwakonga wabinti wenzake, duka kubwa frem kubwa ndani ina private ofisi, choo, kodi yake tu ni hatari. Nikamwambia hivi wewe unaanza biashara hii kodi mbona kubwa, jibu alilonipa sikurudia uliza. Kuendesha ile biashara cost ilikuwa kubwa sana kuliko mapato haikuchukua hata mwaka ikafa.

Maisha yake yakawa magumu, akaokoka, yeye ikawa ni kuomba tu Mungu amtendee miujiza. Hatafuti kazi waala hataki kuanzia chini na anadai karogwa. Yeye anaomba tu, ukimuona anakwambia flani ndiyo kaniroga kila mtu kuanzia ndugu, majirani, mwenye nyumba wake wote wachawi na ndiyo chanzo cha maisha magumu yake.

Sometimes failures zetu tunataka kuzibebesha watu. Maisha yake yalikuwa magumu hasa. Lakini mara zote ilikuwa anadai karogwa. aliuwa hafikirii huwezi kuwa kwa mwezi unaingiza kipato c halafu matumizi yako ni L ukategemea hutoanguka.

Ukifikria sana kuwa una maisha magumu kwasababu umerogwa, muda mwingi unakuwa unakosea. Una maisha magumu kwasababu huna connection, au hujajatafuta vya kutosha au umeridhika na maisha hayo magumu. Sikatai uchawi upo hata umetajwa kwenye vitabu vitakatifu ila watu wnautumia kama njia ya kujipa moyo kuwa wamefail kwasababu wamerogwa kama ambavyo vijana siku hizi tunajipa moyo kuwa kila kijana aliyefanikiwa anauza unga ila kujustify failures zetu.
Ukiona unarogwa jua huna MUNGU ndani yako!!
 
Pia mahandiko yanasema aonavyomtu nafsini mwake ndivyo ilivyo akirivyomtu ndivyo ilivyo ukiamini umerogwa utarogwa kweli ata Kama awakua na mpango wa kuku roga au ujiroge na maneno yako mwenyewe achana na izo Imani kila kitu ni imani
 
Back
Top Bottom