Ukiona kiongozi anachukiwa na viongozi wa vyama vya upinzani ila anapendwa na wananchi wa kawaida basi ujue huyo ndiye kiongozi imara

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,316
8,227
Hii ni nadharia yangu mwenyewe itakumbukwa vizazi na vizazi.

Ukiona kiongozi anachukiwa na viongozi wa vyama vya upinzani ila anapendwa na wananchi wa kawaida basi ujue huyo ndiye kiongozi imara.

Viongozi wafuatao walipaswa kuendelea kutumiwa na utawala wa CCM.
Ni viongozi wanaopendwa na wananchi ila hawapendwi na viongozi wa upinzani.

Hawa ni viongozi wanao jiamini na shupavu na wana ushawishi kwa wananchi. Sifa zao hizo ndizo zinazofanya wachukiwe na viongozi wa upinzani. Hawa walipaswa ndio waendelee kutumiwa na chama kwani ni hadhina ya CCM.

Ni hawa hapa.
1. Polepole
2. Sabaya
3. Makonda
4. Bashiru
Kama kuna niliye msahau hapa ongeza jina lake.
 
Ndio iko hivyo, hata shuleni ukiskia wanafunzi wanamuita Mwanafunzi fulani Local, falla, Bwege nk ujue huyo ndie Msomi na atafaulu, ila ukiskia mtoto anaitwa Mjanja na sifa kedekede ujue hapo zirro. Makonda is a LEADER by nature, hes is CHARISMATIC
 
Hii ni nadharia yangu mwenyewe itakumbukwa vizazi na vizazi.

Ukiona kiongozi anachukiwa na viongozi wa vyama vya upinzani ila anapendwa na wananchi wa kawaida basi ujue huyo ndiye kiongozi imara.

Viongozi wafuatao walipaswa kuendelea kutumiwa na utawala wa CCM.
Ni viongozi wanaopendwa na wananchi ila hawapendwi na viongozi wa upinzani.

Hawa ni viongozi wanao jiamini na shupavu na wana ushawishi kwa wananchi. Sifa zao hizo ndizo zinazofanya wachukiwe na viongozi wa upinzani. Hawa walipaswa ndio waendelee kutumiwa na chama kwani ni hadhina ya CCM.

Ni hawa hapa.
1. Polepole
2.Sabaya
3.Makonda
4.Bashiru
Kama kuna niliye msahau hapa ongeza jina lake.
Umezaliwa kwenye familia isiyopenda haki na yenye utapeli tapeli, nimekosea?
 
Back
Top Bottom