Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa matatizo ni mtizamo tu wa mtu.Sababu kuna watu wanaishi km vile hamna tatzo sabb wameamua ku simpilfy maisha,wanatake easy mpk wanaona kila kitu kawaida.Ha ha ha ha ha ha ha kama huna mipango utakua mtu wa matatizo kila siku alafu suala la matatizo nazani ni mtazamo tu kama kuwa tajili ni mtazamo tu na mind set yako inavyojidanganya
Labda uwe fisiemuUtakosaje tatizo Kwenye nchi ya Magufuli.
Kwani matatizo ni nini na changamoto ni nini?? And what differentiate them from each another??Tokea nizaliwe sijawahi kuona mtu anamatatizo, labda changamoto za hapa na pale na wengine kusumbuliwa na maradhi
Matatizo ni yale magumu yasiyotatulika. changamoto ni yale magumu yanayotatulika.Kwani matatizo ni nini na changamoto ni nini?? And what differentiate them from each another??