dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Wakuu kuna dem nawasiliana nae huu mwezi wa pili sasa yupo huko mtwara kijijini,kwahiyo hana smart phone huko ni mwendo wa vitochi tu, ila nikimuuliza aniambie yupoje ananiambia anamshukuru mungu kampendelea hatak kumkufuru mungu,ananiambia juu ni mwembamba ila kuanzia kiunoni kushuka chini ndo kanenepa,yaani anajiamini sana,sasa wadau kwa uzoefu wenu ntakuwa nimelamba dume kweli au galasa