Ukiona au kuhisi Idara nyeti ya Usalama unapambana na watu ndani basi anza kulia

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,183
11,200
Leo nitaongea Jambo moja la ajabu kidogo. Nahili Jambo naliongea sio Kwa Nia mbaya Ila Kuwa fungua macho nakuitahadharisha serikali ikiwa kuna ukweli basi wajuwe kule tunaenda watatuumiza na watafanya watanzania wasifurahie utanzania wao na Taifa Lao.

Mbinu za kiusalama ambazo naziona Kwa sasa zinatumika hazikuanza ktk Taifa letu zilianzia Israel ndani ya idara zao za Usalama mossad. Ila tofauti ya matumizi ya hizi mbinu nikuwa wenzetu wanazitumia nje kulinda Taifa Lao. Dhidi ya maadui zao hasa ukizingatia adui wa Israel nijirani yake. Pia Israel ana maadui wa nje wengi Sana.

Pili wa Marekani hawa jamaa ni zaidi ya hatari chini ya idara Yao ya CIA wanafanya mission zakutisha Sana kiasi hata vile vi NGOs vya USAID usijevichukua poa hata siku moja. Ila mbali na hapo hawa jamaa wanaweza fungua hosp, maduka ya nguo vibanda vya spear ktk mataifa ya nje Ila wapo kikaz Zaid Yani ni sub contract wa CIA.

Tofauti ya hawa wenzetu wanalinda. Taifa Lao hawatumii hizi teach Kwa Raia wao.

Hapa Tanzania Aina hii ya sub comp zenye mashiko na idara nyeti zilianzia tumika kipindi cha uhalifu wa pembe za ndovu na faru Ila now a day operation imetanuka na imefika mahali nionavyo Mimi maisha yatakuwa magumu Sana na uwenda watu hawato aminiana kivile ikumbukwe watanzania tuna Onana kama ndugu Ila hizi operation zenye Aina ya zile wanafanya wenzetu kuwinda adui wa Taifa Lao nakuziamishia kwa Raia Ambao kiukweli bado Sana hatujafikia level ya umafia wa Aina hiyo kweli mtaumiza watu na watu tutaogopana.

Kwa nature ya Tanzania hii itazuwa Jambo huko mbeleni pale familia na ndugu watajuwa kile tuliona kama Jambo la kawaida nikitu kiliandaliwa nakusukwa mahali tena na MTU Fulani. Yani itakuwa ni shida basi Bora mkamate watu wa ukweli Ila je mkionea Nani ataweza sahau Hilo?.

Tuna hitaji wekeza zaidi kupigana na adui wa nje kuliko Raia wasio na kitu. Kama kweli kuna shida basi tumieni idara za polisi kudhibiti wa halifu.

Narudia tena haya ni maoni yangu
 
Nchi inaongozwa na mtu mmoja.
Kujiona yupo sahii muda wote.
serikali imeonekana nimali ya jamaa.

Walikuwepo akina Adolf Hitilar wapo wap?
Msolini wapo wap?

Maytake!
Viongozi mlio chini ya huyo jamaa fateni maadili ya uongozi. Ipo siku mambo ya tawagharimu
 
wewe ulivyokuwa na nafasi huko ulimshughulikia Ben saanane sasa hivi wamekutema unakuja kulia humu kwanza tueleze ulipo mwili wa Ben ndio ulete hizi longolongo zako

Mkuu unamjua huyu aliyeweka post au unajisemea semea tu.! Mambo ya Ben iachie mamlaka husika
 
Nchi zote zinazofuata mfumo wa communism/Marxism-Leninism lazima ziwe na idara za Usalama wa ndani ya nchi. Kwa mfano Ujerumani mashariki walikuwa na idara inaitwa Stasi ambayo ilikuwa na mafaili na kusikiliza mawasiliano ya simu ya kila raia.
 
Nina mashaka na anayeitumia account hii kwa sasa.

Nina mashaka kwa kuwa huko siku za nyuma alizungumza jambo na likatokea na nikaamini ya kuwa ni mtu ambaye yupo katika higher circles.Kinachonistua ni post zake za karibuni ambazo kwanza hazieleweki na pili zina typo error ambazo si rahisi kuzipata kwa mtu aliyetumia muda mrefu kaundika (Spear=Spare,capital letters paspostahili n.k.

Jaribuni kuinua post zake zilizopita
 
Nina mashaka na anayeitumia account hii kwa sasa.
Nina mashaka kwa kuwa huko siku za nyuma alizungumza jambo na likatokea na nikaamini ya kuwa ni mtu ambaye yupo katika higher circles.Kinachonistua ni post zake za karibuni ambazo kwanza hazieleweki na pili zina typo error ambazo si rahisi kuzipata kwa mtu aliyetumia muda mrefu kaundika (Spear=Spare,capital letters paspostahili n.k.
Jaribuni kuinua post zake zilizopita

Hata aina ya kiswahili, sio fasaha cha mtanzania.
 
Nchi zote zinazofuata mfumo wa communism/Marxism-Leninism lazima ziwe na idara za Usalama wa ndani ya nchi. Kwa mfano Ujerumani mashariki walikuwa na idara inaitwa Stasi ambayo ilikuwa na mafaili na kusikiliza mawasiliano ya simu ya kila raia.

Ukiona hivyo ujue watawala waliopo hawapatikani kwa njia sahihi na halali, hivyo wanakaa kuwawinda wote wanaohoji utawala wao.
 
Huyu mtu anahitaji msaada jamani, anaandika vitu havieleweki.
 
Mleta mada kuna kitu unatamani kusema ila unasita, kuna siri unaijua unatamani ku share na watanzania. Ila kama unavyojua kama ulishiriki uovu wowote na wenzako 'watakuwahi' labda usiwe Tanzania. Ndio kanuni zenu hizo si ndio. Kweli damu ya mtu ni nzito ikiwa ni kweli watu wanayosema kuhusu wewe. Naona kama haupo sawa otherwise unatuigizia
 
Back
Top Bottom