Ukiombwa hela ndogo na demu wako ujue amewaomba wanaume wasiopungua 100

Inakuja inakataa.

Umeambiwa 50... nikitafakari mwanamke anakuwaje na wanaume wote hao jamani wewe unakuja na wanaume 200.

Either wanawake tumeshajikatia tamaa hatujithamini tena ama mtoa mada na huyo shogaako mlilewa mkakosa cha kuongea.
Labda watano si ndio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom