Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Na nyie muachage kuzaa kama mbuzi. Hebu muolewe muzae na waume zenu muone kama kuna atakayewasumbua. Mnayatafuta wenyewe haya matatizo.
Wewe nawe mbafu zako, hatuzai kama mbuzi unakuta mtoto mwenyewe mmoja halafu mtu anakuja kukunyang'anya na wengine huwa hawasemi kama wameoa