kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Busara ndo kila ki2.ss ona mpaka wametoana ngeu wakati ilikua ni ktendo cha kuelewana wkt mwingne wanawake wanadhani mtoto akilelewa na mama mwngne anateswa.Ujinga, hasira, chuki, ghadhabu nk nk, lakini wanaume si vichwa ktk maswala kama haya tunategemea msaada wa kiakili kutoka kwenu, sasa ukileta mambo ya kijinga kama huyu unadhani moyo wa kuvumilia utakuepo kweli??