Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,988
Mitandao imekuwa shida halotel nao umekuwa slow tahamaki unakuta mb zimeisha na hujafanya ulichokusudiaHAYAA MAMBO NILIJUA TCRA WAMESHAYAMALIZA BADO YANAENDELEA AISE CORONA NYINGINE HII KHA
We mwanamke mmbea kweli..mwanzo siku ona chochote,baada kusema wewe ndio nimeona.kweli watu wanakazi zao.😲😲😲Mwenzetu una matatizo ya macho au niaje? Unasave namba kwa herufi kubwa 😂😂 size ya maneno aisee dah!
Ila sio mbaya, msalimie Swai wa Moshi
Halotel siku hizi wanazingua najiunga 7gb za wiki lakini zinavyo isha ni hatari zina kwenda kama maji sio kama zamani.mitanda
Mitandao imekuwa shida halotel nao umekuwa slow tahamaki unakuta mb zimeisha na hujafanya ulichokusudia
😂😂😂😂We mwanamke mmbea kweli..mwanzo siku ona chochote,baada kusema wewe ndio nimeona.kweli watu wanakazi zao.😲😲😲
Nimejiunga cha 2000 week GB 1.5 na MB 500 YouTube... Maajabu kimepiga siku zote 7Halotel siku hizi wanazingua najiunga 7gb za wiki lakini zinavyo isha ni hatari zina kwenda kama maji sio kama zamani.
Haaaa basi wewe utakuwa una hisa hapo..zamani walikuwa wapo poa ila kuanzia wiki mbili zilizo pita,ndio wameanza haka kamchezo kao..Nimejiunga cha 2000 week GB 1.5 na MB 500 YouTube... Maajabu kimepiga siku zote 7
Naona kina muda na muda... Kuna kipindi GB 7 zilikaa siku 4 tuHaaaa basi wewe utakuwa una hisa hapo..zamani walikuwa wapo poa ila kuanzia wiki mbili zilizo pita,ndio wameanza haka kamchezo kao..
Basi huo mchezo wameuamishia kwangu...nita waama mida si mrufu.Naona kina muda na muda... Kuna kipindi GB 7 zilikaa siku 4 tu
NIMENUNUA KIFURUSHI UKISOMA KABLA YA KUKUBALI N MB 500
UKISHAKATWA NAKUTA MSG HIO MBS 250 HATARESANA
HAYAA MAMBO NILIJUA TCRA WAMESHAYAMALIZA BADO YANAENDELEA AISE CORONA NYINGINE HII KHA