October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
- Thread starter
- #61
Sawa mkuu.UKIFANIKIWA leta feedback Mkuu October man
Sawa mkuu.UKIFANIKIWA leta feedback Mkuu October man
Hakuna mwenye kutaka mtu mwengine asifanikiwe ulinzi ni kazi sio mtu hata mimi naweza kuwa mlinzi nanishawai kuitaka iyo kazi ila point uwelewe Duniani tunapata ujira kulingana na thamani yako ikiwa eti mlinzi atalipwa 500K+ hakuna atakayeenda poteza muda shuleni kumbe ukiwa mlinzi tu una 500+ hivyohivyo eti wafanya kazi wachini viwandani watataka 500+ hakuna dunia hiyo mkuu.
Sawa mkuu.
Nini kinakukwamisha sasa mkuu?? I would really like to knowOctober man huwa natamani sana nikusaidie
Nini kinakukwamisha sasa mkuu?? I would really like to know
Cresida naelewa unachokisema, nimeacha nowadays kupitia huko. Sijawahi msoma huyu mdau ila tu ni muhimu kuwa makini.Relief ukimsoma October man na kama unapitia sana jukwaa la biashara na uchumi utaona harakati zake.
Yaani ana harakati mno kupitia malengo yake, ni mtu ambaye akipata sehemu au mtu wa kumshika mkono atafikia malengo yake.
Binafsi nami najikongoja ndo maana nashindwa kumsaidia huwa natamani sana ila ndo hivyo.
@Cresida ni Dada yangu wa muda humu na sio lazima msaada wake uwe physically kwangu Encourage yake kwangu inatosha nilishajiwekeaga humu itapofikia muda nitakuja na kitu kwake hata kama tujawai onana.Cresida naelewa unachokisema, nimeacha nowadays kupitia huko. Sijawahi msoma huyu mdau ila tu ni muhimu kuwa makini.
Just so you know, kuna members karibu watatu humu nimewaajiri kwenye taasisi yetu na wengine ambao wamepata ajira kupitia mimi ila..... you need to be careful that's all
Mkuu nina uhakika hujachelewa kabisa, nimelisoma bandiko lako vyema na mimi nakuombea Mungu, utafikia tu malengo yako mzee.@Cresida ni Dada yangu wa muda humu na sio lazima msaada wake uwe physically kwangu Encourage yake kwangu inatosha nilishajiwekeaga humu itapofikia muda nitakuja na kitu kwake hata kama tujawai onana.
Naamini katika mimi wala sijachelewa hata mwaka bado tangu nihitimu chuo.
Ubarikiwe mkuu.Mkuu nina uhakika hujachelewa kabisa, nimelisoma bandiko lako vyema na mimi nakuombea Mungu, utafikia tu malengo yako mzee.
Cresida naelewa unachokisema, nimeacha nowadays kupitia huko. Sijawahi msoma huyu mdau ila tu ni muhimu kuwa makini.
Just so you know, kuna members karibu watatu humu nimewaajiri kwenye taasisi yetu na wengine ambao wamepata ajira kupitia mimi ila..... you need to be careful that's all
Mkuu bado tu haujapata wa kukuunganisha?Atakayeniunganisha na kazi inayoanzia mshahara wa 250,000/= kwenda juu 50,000/= nitakuwa nampa yeye mwaka mzima kila mwezi nampa 50,000/= yeye.
Nipo DSM
Bachelor of education, nafundisha Geography na History.
Ujuzi mwengine Computer office programs.
Sijawai kuwa Desperate mkuu, ninamaana yangu kufanya hivyo target sio uwo mshahara ninaweza fanya mwaka mzima nisiguse uwo mshahara target kitu kingine kabisa.
Lengo langu mipango yangu iyende kwa muda muda hausubili ninauwezo wa kupata kazi ya mshahara 800,000+ na wenye security ya maana ila sio leo wala kesho itachukua miaka 3 hadi 4 je malengo yangu nisubili mpaka nipate iyo kazi.
KWA ALIYEELEWA JAMANI!!!Atakayeniunganisha na kazi inayoanzia mshahara wa 250,000/= kwenda juu 50,000/= nitakuwa nampa yeye mwaka mzima kila mwezi nampa 50,000/= yeye.
Nipo DSM
Bachelor of education, nafundisha Geography na History.
Ujuzi mwengine Computer office programs.
mkuu uko sahihi sana iyo 50 kwa kuisema ni rahisi mziki ukisha anza kazi unaona hela haitoshi tenaHiyo 50k per 12month parefu mno kwa kijana unaetaka tengeneza future yako. Hapa utaona rahisi kwakua hujapata ila ukipata utagundua ulijivika kitanzi.
Ukiwa na njaa unaweza kubali kufanya lolote ref..Kaka yake yakobo alivyouza status yake kisa njaa