October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,996
- Thread starter
- #81
Kama hamna wa kumjua sehemu utoboiKwa nn usipeleke CV na barua ya maombi pale pizza hut au KFC??
Ukawe waiter ukalipwa laki Tatu.
Kwa kuanzia sio pabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee rahisi hivyo sizani...Kwa nn usipeleke CV na barua ya maombi pale pizza hut au KFC??
Ukawe waiter ukalipwa laki Tatu.
Kwa kuanzia sio pabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Mkuu ulivyo rahisisha kama Kumeza mate vile😂😂Kwa nn usipeleke CV na barua ya maombi pale pizza hut au KFC??
Ukawe waiter ukalipwa laki Tatu.
Kwa kuanzia sio pabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey put Full stop dot Boss ‘SIJAWAI KUWA NA UGUMU WA MAISHA PLEASE’ vyema ukasoma kila Post ndio u-post pia.Siamini Kama unaugumu wa Maisha kiasi Cha kujishusha kiasi icho.
Mtaani kwako naamini Kuna watoto chini ya miaka mitano wengi tu
pitia wazazi wao waambie unaelimu ya chuo kikuu unataka uwafundishe watoto zao masomo ya awali
kwa walio msingi na sekondari utawafundisha masomo ya jioni Ada 20 kwa mwezi vichwa vyako10 kwa mwezi una 200 bila jasho.
Ukitengeneza jina vizuri utapiga Ela utashangaa
Samahani ndugu Kama umekwazika na uandishi wangu lakini maana yangu ilikua njema tu.Hey put Full stop dot Boss ‘SIJAWAI KUWA NA UGUMU WA MAISHA PLEASE’ vyema ukasoma kila Post ndio u-post pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli nilidhani ana elimu ya biashara, uchumi au ni mfanyabiashara pasee. Nakubali harakati na ningekuwa na connection kubwa ningejitoa ila bado hata mimi sijakaa stable sana katika career yangu. Kama unajua vile private sector ilivyo na mbaya uwe katika service industryRelief ukimsoma October man na kama unapitia sana jukwaa la biashara na uchumi utaona harakati zake.
Yaani ana harakati mno kupitia malengo yake, ni mtu ambaye akipata sehemu au mtu wa kumshika mkono atafikia malengo yake.
Binafsi nami najikongoja ndo maana nashindwa kumsaidia huwa natamani sana ila ndo hivyo.
kajibu Hana ugumu wa Maisha.Kweli hali ni ngumu , mwenye nafasi amsadie mwenetu huyo
Sio jukwaa la biashara Boss.Huyu Jombaa anashindwa nini kuanzisha tuition centre? Afundishe hata watoto wa shule ya msingi, afundishe hata chekechekea, aanzisha hata kindergarten.
Najua sio rahisi ila kama umepata Elimu kidogo ila unakuja unalia lia hapa unataka utoe elfu 50? Kiufupi its impossible. Kuongea rahisi ila hesabu hizo hazipo. Mtaishia kugombana tu.
Jombaa akafundishe hata shule za kujitolea . Labda kama jombaa hana hio elimu
Kama kila aliyemaliza ualimu akianzisha tuition centre hapa mjini patakuwa hapatoshi, wengine inabidi waajiriwe ili mambo yaende.Huyu Jombaa anashindwa nini kuanzisha tuition centre? Afundishe hata watoto wa shule ya msingi, afundishe hata chekechekea, aanzisha hata kindergarten.
Najua sio rahisi ila kama umepata Elimu kidogo ila unakuja unalia lia hapa unataka utoe elfu 50? Kiufupi its impossible. Kuongea rahisi ila hesabu hizo hazipo. Mtaishia kugombana tu.
Jombaa akafundishe hata shule za kujitolea . Labda kama jombaa hana hio elimu