Ukinipa na supu halibaki hata moja.

prospa

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
554
156
Kuna dogo mmoja mwanafunzi wa darasa la kwanza , sasa si unajua tena walimu wanapenda kufundisha kwa mifano halis ili watoto waelewe ,

Mwalimu. Ehee Musa mama kaweka mandazi matatu mezani akaupa mawili unywee chai yanabaki mandazi mangapi?

Musa. Mwalimu ukinipa na thupu halibaki hata moja nafuta yoteeeeeeeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom