Ukimzidi mshindani wako kwa 90%, kutakuwa na sababu mbili za wewe kushinda...

Teh teh, tulianza na TWENDE NA MEMBE, upepo ukamgeuka ikaja NI YEYE! The thing is, upinzani na watu wake huwa hamjitambui, hamuangalii nyakati tulizo nazo. Without a free NEC and other institutions, bila kumpunguzia madaraka raisi, kizazi chetu kitapita bila kuona upinzani kuongoza dola.
Huu ndio ukweli, kuna reforms ambazo zilitakiwa kufanywa kabla ya kuingia uchaguzi mkuu k.v katiba mpya hii ilitakiwa kudaiwa kwa nguvu zote hata kabla ya uchaguzi mkuu na pia tume huru ya uchaguzi.

Kwa mazingira haya tuliyonayo Tz hatutaweza kubadili chama cha siasa kuongoza nchi. Haitaokea kura zikabadili matokeo ya uchaguzi. Sasa huu mmeona ni mfano na mwanzo mengi makubwa yanakuja.
 
Hii jeshini tulikuwa tunasema kumtoa mtu umaarufu...Chadema mlijifanya maarufu sana sasa leo wananchi wamewaadabisha.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ni wananchi au wezi? Tofautisha wezi na wananchi. Hao wawili ni tofauti mno.

Wezi na majambazi ni wale wale Ila vifaa vya kazi tu.
 
Huu ndio ukweli, kuna reforms ambazo zilitakiwa kufanywa kabla ya kuingia uchaguzi mkuu k.v katiba mpya hii ilitakiwa kudaiwa kwa nguvu zote hata kabla ya uchaguzi mkuu na pia tume huru ya uchaguzi.

Kwa mazingira haya tuliyonayo Tz hatutaweza kubadili chama cha siasa kuongoza nchi. Haitaokea kura zikabadili matokeo ya uchaguzi. Sasa huu mmeona ni mfano na mwanzo mengi makubwa yanakuja.
Hizi reforms zisingewezekana, CHADEMA ilisusia uchaguzi wa serikali za mitaa, Labour Party ya Mrema na UDP ya Cheyo wakasema hawaoni mapungufu ya NEC na jumuia ya kimataifa ilijulishawa uchaguzi utajumuisha vyama vingi.
 
Hii jeshini tulikuwa tunasema kumtoa mtu umaarufu...Chadema mlijifanya maarufu sana sasa leo wananchi wamewaadabisha.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Deep down in your heart you know what it means without opposition in parliament
 
Ni wananchi au wezi? Tofautisha wezi na wananchi. Hao wawili ni tofauti mno.

Wezi na majambazi ni wale wale Ila vifaa vya kazi tu.
Vuta pumzi vizuri ni kawaida ya penicillin injection kuuma...vumilia dawa iingie vizuri kijana.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hii jeshini tulikuwa tunasema kumtoa mtu umaarufu...Chadema mlijifanya maarufu sana sasa leo wananchi wamewaadabisha.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
nilishA sema hili na nina rudia tena, haya maneno sasa leo wananchi wamewaadabisha tafadhari yasitumike popote kana kwamba wananchi ndio walikuwa hatma ya uongozi wa Tanzania hii si kweli. Lazima tukubali kuwa tulikuwa kwenye igizo la uchaguzi na hatukuwa kwenye uchaguzi. Aliye waangusha viongozi wa upinzani ni tume ya uchaguzi na sio watanzania fullstop😒
 
Teh teh, tulianza na TWENDE NA MEMBE, upepo ukamgeuka ikaja NI YEYE! The thing is, upinzani na watu wake huwa hamjitambui, hamuangalii nyakati tulizo nazo. Without a free NEC and other institutions, bila kumpunguzia madaraka raisi, kizazi chetu kitapita bila kuona upinzani kuongoza dola.
Wewe unafikiri hivyo vitu vinajileta vyenyewe bila kupiganiwa?

Na unafikiri vitapiganiwa wapi kama siyo kwenye platforms za kisiasa kama uchaguzi ?

Na unafikiri ni jukumu upinzani pekee kutengeneza taasisi huru na za kidemokrasia nchini ?

Tumia kichwa kufikiri siyo pumbu.
 
Ukimzidi mshindani wako kwa asilimia 90% kutakua na sababu kubwa mbili za wewe kuupata ushindi huo.

1. Uwezo wa mshindani wako katika mnachoshindania ulikua duni sana. Hili hata walimu huwa wanajitahidi kutunga mitihani yao kutokana na uwezo wa wengi darasani. Nusu ya darasa wakipata 90% basi inamaana mtihani ulikua rahisi sana. Sasa ukimzidi mshindani wako kwa 90% angalia mchakato mzima wa kumpata mshindi ulikuwaje?

2. Mshindani wako ulimminya kiasi cha kukosa nguvu kabisa katika shindano? Ni sawa na kuwa ulishindana na maiti isiyo na uwezo wa kujitetea. Katika hali hii kulikuwa na haja ya kuwa na shindano?
Hakukuwa na haja
 
It was unequal contest. One has a deep rooted and well entrenched political machinery (from The President down to ten cell leader) and the other has nothing. The incumbent is too strong to defeat. A meaningful political alliance could help but the selfishness within the opposition parties is a stumbling block.
They have learned the lesson the hardest way. Voters have made their point crystal clear that they trust the incumbent better.
 
Huu ndio ukweli, kuna reforms ambazo zilitakiwa kufanywa kabla ya kuingia uchaguzi mkuu k.v katiba mpya hii ilitakiwa kudaiwa kwa nguvu zote hata kabla ya uchaguzi mkuu na pia tume huru ya uchaguzi.

Kwa mazingira haya tuliyonayo Tz hatutaweza kubadili chama cha siasa kuongoza nchi. Haitaokea kura zikabadili matokeo ya uchaguzi. Sasa huu mmeona ni mfano na mwanzo mengi makubwa yanakuja.
Hizi reforms unazipataje bila kutumia platforms za kisiasa ?
 

Sijui wanahangaika nini kutaka kuidanganya dunia kwamba tuna mfumo wa vyama vingi halafu katiba ni ya chama kimoja na tume ya uchaguzi ni ya mfumo wa chama kimoja. Walikuwa na majority kule kwenye Bunge FAKE wapeleke muswaada wa kufuta mfumo wa vyama vingi na waruhusu mfumo wa kifalme anatawala milele hadi afe.
Ukimzidi mshindani wako kwa asilimia 90% kutakua na sababu kubwa mbili za wewe kuupata ushindi huo.


1. Uwezo wa mshindani wako katika mnachoshindania ulikua duni sana. Hili hata walimu huwa wanajitahidi kutunga mitihani yao kutokana na uwezo wa wengi darasani. Nusu ya darasa wakipata 90% basi inamaana mtihani ulikua rahisi sana. Sasa ukimzidi mshindani wako kwa 90% angalia mchakato mzima wa kumpata mshindi ulikuwaje?

2. Mshindani wako ulimminya kiasi cha kukosa nguvu kabisa katika shindano? Ni sawa na kuwa ulishindana na maiti isiyo na uwezo wa kujitetea. Katika hali hii kulikuwa na haja ya kuwa na shindano?
 
Wewe unafikiri hivyo vitu vinajileta vyenyewe bila kupiganiwa?

Na unafikiri vitapiganiwa wapi kama siyo kwenye platforms za kisiasa kama uchaguzi ?

Na unafikiri ni jukumu upinzani pekee kutengeneza taasisi huru na za kidemokrasia nchini ?

Tumia kichwa kufikiri siyo pumbu.

Wewe kama mpinzani ulipewa platform hiyo 2013-14, ulichofanya ni nini zaidi ya kulikimbia bunge? Au unadhani mabadiliko ya namna hiyo yanakuja vipi kama utakimbia bunge?

Naona unatumia masaburi kufikiri, endelea kulala hapo ufipa.
 
Back
Top Bottom