Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Ikiwa zimepita siku kadhaa baada ya kifo cha mmarekani mweusi George Floyd kwa kukandamizwa shingoni na police hadi kupelekea kifo chake huko Marekani, pamoja na maandamano yaliyofanyika katika nchi nyingi na watu kutoa matamko ya usawa lakini mwamba huyu amabaye nae hupenda kulituhumu jeshi la police amekaa kimya.
Kulingana na nafasi anayotaka kuiomba sasa ningedhani angejitokeza hadhalani kupinga kitendo hicho cha kinyama kilichofanywa na hao police lakini yeye anazungumzia Tanzania tu kana kwamba hayo hayaoni wakati huko aliko ndo alienda kushitaki kwa kwa kutaka kudhurumiwa haki yake ya kuishi.
Kama muhanga wa kukoswakoswa kufa angesimama na kuwasema hao ma police na kuitaka serikari ya Marekani ichukue hatua kali dhidi ya police hao na kuondoa ubaguzi kwa watu weusi.
Katika hotuba ya jana nilitegemea atagusia hilo lakini kimya sasa ni haki gani anaziomba huko zije Tanzania wakati huko zinavunjwa yeye anaona na yupo huko kimya bila kuwaonya?
Je thamani za waafrica wa huko hazimuhusu?
Nawasilisha.
Kulingana na nafasi anayotaka kuiomba sasa ningedhani angejitokeza hadhalani kupinga kitendo hicho cha kinyama kilichofanywa na hao police lakini yeye anazungumzia Tanzania tu kana kwamba hayo hayaoni wakati huko aliko ndo alienda kushitaki kwa kwa kutaka kudhurumiwa haki yake ya kuishi.
Kama muhanga wa kukoswakoswa kufa angesimama na kuwasema hao ma police na kuitaka serikari ya Marekani ichukue hatua kali dhidi ya police hao na kuondoa ubaguzi kwa watu weusi.
Katika hotuba ya jana nilitegemea atagusia hilo lakini kimya sasa ni haki gani anaziomba huko zije Tanzania wakati huko zinavunjwa yeye anaona na yupo huko kimya bila kuwaonya?
Je thamani za waafrica wa huko hazimuhusu?
Nawasilisha.