alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Pamoja na yote yanaendelea Mbeya mjini na kwa namna tumfahamivyo Mbunge wa Jimbo lile lazima angeshafanya yake.
Ajabu na isivyotarajiwa kabisa jamaa yupo kimya kama siyo yeye kabisa.
Hapo ndiposa yatupasa tujiulize kwa nini na tofauti na alivyo kaamua kuwa kimya!?
Au yanayosemwa mtaani kwamba eti anashirikiana naye ni ya kweli!?
Muda ni Mwalimu mzuri na ni suala la muda tu kila kitu kitakuwa wazi.
Ajabu na isivyotarajiwa kabisa jamaa yupo kimya kama siyo yeye kabisa.
Hapo ndiposa yatupasa tujiulize kwa nini na tofauti na alivyo kaamua kuwa kimya!?
Au yanayosemwa mtaani kwamba eti anashirikiana naye ni ya kweli!?
Muda ni Mwalimu mzuri na ni suala la muda tu kila kitu kitakuwa wazi.