Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,516
- 30,574
Watu hawasomi, na hawafuatilii matukio ya nchi, 2005 lilitokea hili analoongelea mtoa mada na uchaguzi ulisimama.Hamna mada fikirishi hapa ni uvivu tu wenu wa kutafuta maarifa....mgombea urais akifariki kwenye kampeni zoezi zima linaitishwa upya Chama kitatakiwa kuteua mtu ambaye atakuja na mwenza wake.
Uchaguzi hausimamiwi na katiba bali ni sheria ya uchaguzi
Mleta mada anazungumzia uchaguzi wakati hajui hata sheria na taratibu za uchaguzi.
Watanzania tumejaa ujuaji sana