ukimwona mwanaume..

ukimwona mwanaume kafunga kanga ya mama yako...jua huyo ndo babako!!
Utajuaje ni ya mama yako?khanga si zinafanana?Kiwanda kikubwa cha nguo kwa siku kinazalisha mita lakimoja(MT100,000) Za khanga za rangi sawa na zinazofanana ambazo ni sawa na pair 30,000.Kwa hiyo kujua ya mama yako ni kazi kweli kweli labda uwikee stika maalum..teeeehh
 
duh kwe kwe kwe kwee.............................!!! bangi imezidi hapa
 
Utajuaje ni ya mama yako?khanga si zinafanana?Kiwanda kikubwa cha nguo kwa siku kinazalisha mita lakimoja(MT100,000) Za khanga za rangi sawa na zinazofanana ambazo ni sawa na pair 30,000.Kwa hiyo kujua ya mama yako ni kazi kweli kweli labda uwikee stika maalum..teeeehh
Na kweli, kuna uwezekana mwanaume mmoja akawa baba yetu woooteeee ambao mama zetu wanavaa kanga zinazofanana
 
mkiniona nnevaa khanga zenu msishangae, eeh, mjue ndo vile tena, eeh. aah nini, ndiyo hivyo hivyo.
 
Kwa hali ya hewa hii, ukipata cha msumbiji lazima uanze kuwaza mambo yasiyowazika.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom