James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
- Thread starter
- #81
Weka Clip ya Tundu Lissu akihojiwa na Chris Cuomo ama Don Lemon basi tuone? ama hata akihojiwa na Rachel Madow wa MSNBC. Huizo TV alizohojiwa USA ni kama hizi za kina Mirad Ayo tu
Anaweza akawa amehojiwa na vituo vingine vidogo lakini ukweli unabaki pia amehojiwa kwenye Hardtalk. Kwa sasa sioni mwanasisa mwenye ubavu wa kwenda kuhojiwa kwenye Hardtalk zaidi ya Lissu. Hawa wanasiasa wa Bongo bora tu waendelee kuulizwa maswali laini na waandishi uchwara wa Bongo kuliko kwenda kuwa kichekesho mbele ya dunia.