Ukimsikiliza Jumanne Kishimba mbunge wa Kahama, unajua kwanini Musukuma anawadharau wasomi wetu

Kama walioishia Darasa la Saba,wanauwezo mkubwa kuriko wanazuoni wenye shahada na kuendelea,Basi waende kwenye zahanati zote wawe madakitari(maana Kuna upungufu),waboreshe kilimo Cha sukari,mafuta,maana wengi wako huko na hayo mazao Bado tunaagiza kutoka nje,

Waje watuanadalie utafiti jinsi ya kuondoa tatizo la ajira.
Ukienda Mloganzira,Muhimbili,Bugando,Itakuwa vzr Hawa Darasa la Saba tuwaachie ofisi na shughuri za kibingwa wafanye wao.
hata maneno haya hayaonyeshi umahili wowote,mwandishi ka- challenge wewe unasusa mwandishi hajakosea.
 
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.

Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.

Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.

Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.

Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.
Humu jf kuwajua ambao hawakusoma ni rahisi sana. Mnashabikia mauzo ya dhahabu tuuu! Kwa bei mnazo dhani ni sahihi!!
Ulimwenguni wa dhahabu kote na.madini kwa ujumla wake ni tata sana.hautajua mpaka uwe na shule ya kutosha hasa.utarudi mikono nyuma.
Hkn mtu humu Jf anajua matumizi ya dhahabu.zaidi atasema mikufu na saa.heleni baaasi.
Matumizi ya dhahabu ni dhana fiche mno. Kiasi wakiwaachia hamjui pa kuuzia wala cha kufanyia zaidi ya bangili.

Hakuna mswahili anajua dhahabu inafanyiwa nini zaidi ya kuuzia vidume wenu hao rangi nyeupe.

Professor anajua historia ya uchimbaji dhahabu Duniani.huyu mburula anajua kuuza tuuuu!!
Ningemuona wa maana km angesema tuitumie wenyewe km yetu....kivipi aseme...
 
Subiria umwagiwa upupu na matusi mazito kutoka hapa maana jamii forum 98.4% ni graduates, Drs, na Phd!

Elimu ya Tanzania inazalisha maroboti tu. Kuna wakati JPM aliwahi kulinganisha uwezo wa kiakili wa Mh. Kishimba na Mtumishi wa Wizara ya Nishati na Madini mwenye Phd kwenye mbinu ya kutathmini thamani ya dhahabu/almasi kulingana na soko na kuonyesha Kishimba yupo juu zaidi pamoja na kuwa aliishia "STD 3"

Nina mradi wangu hapa ambao mwakani naweza kuanza kuajili na nimechagua kutumia mbinu hii.... bila kujali vyeti vyako nitakulipa nusu ya mshahara kwa mwaka mmoja ambapo kwa kipindi chote usipoweza kubuni kitu kipya cha kuendeleza kiwanda na utendaji wa kazi kwa ujumla hesabu huna kazi.
Ndiyo halafu tutakutana CMA uone wasomi wanavyofanya kazi.
 
hata maneno haya hayaonyeshi umahili wowote,mwandishi ka- challenge wewe unasusa mwandishi hajakosea.
kachalenji kijinga kuonyesha kweli hajui kitu. Hapa kujua ni kufanya kautafiti kadogo tu!! Nani ananunua dhahabu Duniani tofauti na hawa ili tumuuzie? Tuachane na hawa??
Uone km atakuja na jibu.
 
Wewe ni zwazwa tu, hivi unajua water for injection inayotumika ku-dilute penadul ya kukutibu kaswende inanunuliwa kutoka India na China, maji ya sindano tu! Alafu tuna wafamasia wengi Sana!
Hao ndio maroboti wetu wanaotibu wagonjwa wetu hapa Tanzania
Mbirikimo wa mawazo jiongeze!! Water for inj. Utachukua mto ruvu uje uchome hao manyani km wewe bila kipimo?

Uliyajua hayo maji?? si wamekufundisha wao kwa
vitabu vyao!
Maabara zao!!
Waalimu wao.
Madarasa na chaki na kalamu vyao!
Chaki zao! Nk
kwani unadhani hawakujua kulinda masoko yao? Soma wewe utumie maji ya ruvu ukatibie makonde wenzio km hawajakuchoma moto. Mbona hukujua kabla. Babu zako walikuwa na Elimu hizo Mwana marundi kwa mfano kwa nini hawakukupa hiyo Elimu?? Sababu ni..
Kiburi
Jeuri za kishamba km hizi.
Ukilaza.
Dharau za kijinga.
Umaskini wa kutokujua
Kwa taarifa yako wao hawakujua kitu.walijifunza kwa babu zako africa jinga weee! Kasome upya unatupa kazi ya kuelimisha ritoro!! Uliza uambiwe!! Mfyuuuxxzc

Umeniudhi kudharau wasomi wetu!!
 
Kwani yule alishindwa kuapa na akapata kigugumizi alikuwa std 7?

Au huyu mdada wa kizanzibar aliyebadilishiwa wizara kutoka naibu wa fedha kwenda kuwa naibu maendeleo ya jamii, mwangalieni alivyokuwa anababaika kujibu maswali bungeni, kujiamini na kujenga hoja kwa Msukuma, Lusinde na Kishimbo wapo mbali sana
 
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.

Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.

Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.

Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.

Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.
Umewataja wasomi "kasuku" nikamkumbuka jirani yangu huku Nanjilinji anaitwa Kalamaganda Kabugi hapa kijiji tumezoea kumwita mzee wa Tashwishwi!!! Ahaa we acha tu! Yaani hata kama watu kumi wanapingana yeye anakubaliana na hoja za kila mmoja wao, popo si popo, mnyama si mnyama, ili mradi haeleweki kabisa!
 
Humu jf kuwajua ambao hawakusoma ni rahisi sana. Mnashabikia mauzo ya dhahabu tuuu! Kwa bei mnazo dhani ni sahihi!!
Ulimwenguni wa dhahabu kote na.madini kwa ujumla wake ni tata sana.hautajua mpaka uwe na shule ya kutosha hasa.utarudi mikono nyuma.
Hkn mtu humu Jf anajua matumizi ya dhahabu.zaidi atasema mikufu na saa.heleni baaasi.
Matumizi ya dhahabu ni dhana fiche mno. Kiasi wakiwaachia hamjui pa kuuzia wala cha kufanyia zaidi ya bangili.

Hakuna mswahili anajua dhahabu inafanyiwa nini zaidi ya kuuzia vidume wenu hao rangi nyeupe.

Professor anajua historia ya uchimbaji dhahabu Duniani.huyu mburula anajua kuuza tuuuu!!
Ningemuona wa maana km angesema tuitumie wenyewe km yetu....kivipi aseme...
asikudanganye mtu,matumizi ya dhahabu ni siasa tu,dhahabu ilikuwa na thamani, toka zamani kabla ya Yesu.
 
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.

Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.

Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.

Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.

Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.

Nionavyo itakuwa vyema kuwapima wasomi kwa ubora wa kazi zao kitaaluma. Je, kazi wanazofanya zipo katika kiwango kinachotarajiwa kulingana na elimu waliyo nayo?

Kutarajia wasomi kuwa pia na uwezo mkubwa katika nyanja ya uwekezaji (entrepreneurship) si sahihi. Hapo kinahitajika zaidi kipaji na ujasiri wa kukabiliana na yasiyojulikana (risks) - Na hata kufanya janja nyingi nyingi ili kufika mbali. Ndio maana mtu kama Donald Trump ni mwekezaji maarufu lakini Obama sio.

Tanzania kikubwa kinachokosekana ni uongozi makini wenye nia ya kuona wanataaluma wazuri wanapata nafasi ya kuchangia kwenye shughuli walizobobea. Badala yake wanahamasishwa kuingia kwenye sekta ya siasa ambako wanakutana na std 7 wenye uzoefu wa kupiga talalila kuwazidi. China imeendelea kiteknolojia kwa kuimarisha kada ya wasomi walioweza “kunakili” mifumo mbalimbali ya kiteknolojia ya mataifa makubwa na kuunda mibadala ya bei nafuu. Tanzania hatuna interest.

Nimebahatika kukutana na Watanzania wanataaluma wanaofanya kazi nje kwenye mashirika ya kimataifa na makampuni makubwa ya binafsi na serikali za ulaya, US na Canada. Wanaheshimika sana kwa uwezo wao. Wengi wametokea serikalini lakini wakisimulia adha walizokuwa wakikutana nazo unasikitika tu.

Kuna wakati niliongea na wawakilishi wa kampuni fulani inayofanya biashara ya kuweka mifumo ya uongozaji ndege (air navigation systems) wakamtaja Mtanzania Omari Nundu kama mtaalamu mmoja aliyewahi kuwafanyia kazi moja ya maana sana na kuwa mtu wanayemtaka ushauri mara kwa mara kwenye eneo hilo.

Sasa kutaka wasomi wetu waelekeane na mtu kama Kishimba sidhani kama ni jambo la tija sana.
 
Ila huyu Kishimba kujitahidi, manake kipindi fulani nibahatika kufanya kazi Harare Zimbabwe, na alikuwa kafanya uwekezaji pale wa Supermarket na sikutegemea kukuta Mtz atakuwa so smart na bussiness aggressive nje ya mipaka..... anastahili pongezi ktk contribution ambayo anaweza fanya kwa maendeleo ya taifa.
Jamaa kaongea ukweli kabisa
oja
 
Subiria umwagiwa upupu na matusi mazito kutoka hapa maana jamii forum 98.4% ni graduates, Drs, na Phd!

Elimu ya Tanzania inazalisha maroboti tu. Kuna wakati JPM aliwahi kulinganisha uwezo wa kiakili wa Mh. Kishimba na Mtumishi wa Wizara ya Nishati na Madini mwenye Phd kwenye mbinu ya kutathmini thamani ya dhahabu/almasi kulingana na soko na kuonyesha Kishimba yupo juu zaidi pamoja na kuwa aliishia "STD 3"

Nina mradi wangu hapa ambao mwakani naweza kuanza kuajili na nimechagua kutumia mbinu hii.... bila kujali vyeti vyako nitakulipa nusu ya mshahara kwa mwaka mmoja ambapo kwa kipindi chote usipoweza kubuni kitu kipya cha kuendeleza kiwanda na utendaji wa kazi kwa ujumla hesabu huna kazi.
Mkuu wasomi wetu wanaweza kuiba tu aanze kazi mwezi huo huo anunue gari,mwezi huo huo abadilishe viwanja ,mwaka huo huo ajenga kigorofa na baado mwaka huo huo awe na akina Amina kumi mitaani,wasomi wetu wengi hata kuadnika ripoti ya kazi hawajui,hawajui work plan ni kitu gani,wao wanawaza kuiba lakini siwalaumu kama maprofesa wetu ndio wezi wa mfano na wakiteuliwa ndio wanasaini mikataba mibovu kwanini akina Kishimba,Musukuma ,Kibajaji wasiwanange na kuwadharau?
 
Ila huyu Kishimba kujitahidi, manake kipindi fulani nibahatika kufanya kazi Harare Zimbabwe, na alikuwa kafanya uwekezaji pale wa Supermarket na sikutegemea kukuta Mtz atakuwa so smart na bussiness aggressive nje ya mipaka..... anastahili pongezi ktk contribution ambayo anaweza fanya kwa maendeleo ya taifa.

oja
Huyu kishimba ni akili kubwa
PhD hawamuezi kabisa

Ova
 
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.

Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.

Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.

Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.

Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.
Majinga ni janga. Yeye kishimba hakusoma??
Drs la saba siyo shule?
Jando na unyago siyo shule?
Mchawi mlozi pia anakaa drsani anajua dawa za ulozi.ambazo wewe hujui ebu fikiri mtu anaingia ndani bila kujua anakubeba na mkeo anafanya tena mbele yako siyo elimu hiyo.

Kishimba namjua alilelewa na babu yake ukoo wa Mwana Marundi wanajua uchawi kufuru.
Ana elimu ya jadi kwa kiwango cha juu mnooo! Amesaidia watu wengi mie nkiwa mmojawapo! Usipandikize uongo kuwa ukweli kwa kutumia akili yako fupi hiyo wote humu tunatibiwa na kupewa miongozo na waganga wa kienyeji. Ukiona hujaenda huko saaana utakuwa siyo tishio!

Chunguza!!!!

Mleta mada ana mtindio wa ubongo nadhani. mjinga sana anaamini shule za wazungu ndo bora kuliko za kiafrica.

Ukikaa na babu yako akakufundisha itunzaji bora wa Mifugo ngombe.kuku bata njiwa kwa mafanikio na akakupa kidawa cha kufukuza watu wenye kijicho km wezi wanyama hiyo siyo Elimu?

Elimu ya Uchawi wa babu yako ulikataa! Huna kitu cha kujivunia tukufanyeje sasa! Nakuuliz mleta mada!!!

Ok! S/ya msingi siyo Elimu.chekechea nayo ile je? Ulikuwa unachoma mahindi au imetawaliwa na wivu wa kike ku challenge wasomi?

Mnacho ila hamjui kukitumia hata ungeendelea kusoma ungekuwa jinga tuu!
Mko hapo huru leo ajili ya Msomi! Wajinga km weye walikuwepo mbona hawakuleta huo uhuru??

Kawawa ni drsa la nne tu! lkn aliamini ni msomi! Akaongoza vyema!
Sasa wewe wa drs la saba unajiona mburula.sababu umefundishwa na waalimu mburula km wewe.

Idd amini drsa la pili tu mpishi kabisaa wa jeahi. Lkn alitikisa kenya enzi ya maumau.akawa Rais Uganda sababu alijiamini ni msomi.

Yaani hujui kutofautisha drs la saba na drs la nne!

Drs la saba hujiamini km msomi kuliko wa drs la pili au la nne!
Hawa wako juu kiuelewa kuliko weye.... uongo?
Km ni hivo hizi zako akili ni akili za chekechea kabisaaaa!! Au chini ya hapo!
Basi ungechukua hata sayansi ya ulozi! Ufanye mbwembwe bungeni ungepata soko sana Kwa wasomi.hii nayo ukaikwepa eti ni ya kishenzi unataka nini sasa!!!!

Wewe ni mzigo kwa jamii yako. hata humu ni mzigo hasa. Haijulikani unacho taka km vipi kula shaba!
 
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.

Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.

Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.

Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.

Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.
Msingi wa elimu na kujifunza ulianza bila vyeti na dunia inapokwenda tayari tunafikia mahali ambapo vyeti vitakuwa sio benchmark tena ya mtu mmoja kuonekana wa maana kuliko mwingine.

Jumanne Kishimba ana skills za biashara ambazo ame-acquire/amezipata kwa kufanya mambo tena na tena. Skills zinakuwa acquire kwa kufanya jambo mara nyingi mpaka unakuwa bora zaidi.

Baadhi ya wasomi wakiwemo maprofesa, baadhi, hawana practical experience ya yale wanayosoma vitabuni hivyo wanabaki kuongea nadharia ili sio practical ambayo inajenga skills.

Mtu kama Kibajaji, hana degree ya political sc. Ila ana skills za kuzungumza na kushawishi watu kwa kujenga hoja simply yupo kwenye game ya majukwaa kwa muda mrefu. Kuna graduate au PhD holder ukimpa jukwaa la kushawishi watu kwa lugha rahisi ili wamwelewe wanakwama.

John Maxwell anasema, the highest degree of leadership is to connect and not to communicate. Mtu mwenye skill kama ni biashara yupo kitaa, anajua hustles za TRA customs, anajua TRA domestics tax, anajua nini TBS anataka, anajua nini halmashauri inataka, anajua nini osha inataka anajua bidhaa gani zinaenda na anazo takwimu kwanini hiki kikija kinatoka na hiki kinadoda.

Mtu anasoma vitabu na kuandaa powerpoint au kwenda na madodoso sio rahisi kupata exactly kama mtu anaeishi katikati ya jamii ana anafanya biashara kwa kupata hasara, then anapata faida, mara anakopa, mara anakosa mkopo, mara anadhulumiwa; in the course of doing business in 10 years; huyu mtu ukikutana nae hahitaji kitabu akupe rejea. Anakupa masimulizi ya what works and what doesn't work. Know-how is the skilled acquired in the course of doing.

Kabla ya kuja diagnostic machine iwe hospitali au kwenye garage, kuna madaktari wa zamani ukifika akakusikiliza unavyoumwa, anaweza kujua huu ni ungonjwa fulani, enzi hizo hamna diagnostic machine. Au kama ni fundi wa gari akaendesha gari in 2km anajua kuna shida gani, na kuna wengine akisikia mlio wa engine anajua hapa kuna shinda na nini afanye.

Masuala ya vyeti yana sehemu yake, ila kuna haja ya wenye vyeti waweze kukaa field vya kutosha ili maarifa walionayo wanalinganishe na uhalisia, kuna mengi watafuta na kuna mengi wataongeza, then watakuwa simply the best in what they do.

Tuheshimiane kwa misingi ya utu na sio kwa nani ana mavyeti mengi. Huo ni ubaguzi kama vila ubaguzi wa rangi.
 
Kama we ni msomi na hujamwelewa Kishimba,ni hasara kubwa sana kwa taifa.
Kishimba hajakataa wasivae viatu,ila kwa nini viatu "vyeusi" kwani akivaa viatu vyovyote hatapata hiyo elimu?

Kama ni msomi hujawaza hata ushauri juu ya uwekezaji alioutoa..bali umewaza viatu tu...kweli naamini hizi elimu zinaua fikra na kuwafanya watu wapumbavu zaidi
Watanzania baadhi ni mataahira. Wkt wa mchonga tulikuwa na safari buti. Na kiwi za magwanji mlivikataa!

nyerere kawaachia mfanye mnavotaka.kiwi na viatu vya kung'aa mlipewa.ajabu leo hamtaki tena.tuwafanyeje km siyo risasi tuu!
 
Subiria umwagiwa upupu na matusi mazito kutoka hapa maana jamii forum 98.4% ni graduates, Drs, na Phd!

Elimu ya Tanzania inazalisha maroboti tu. Kuna wakati JPM aliwahi kulinganisha uwezo wa kiakili wa Mh. Kishimba na Mtumishi wa Wizara ya Nishati na Madini mwenye Phd kwenye mbinu ya kutathmini thamani ya dhahabu/almasi kulingana na soko na kuonyesha Kishimba yupo juu zaidi pamoja na kuwa aliishia "STD 3"

Nina mradi wangu hapa ambao mwakani naweza kuanza kuajili na nimechagua kutumia mbinu hii.... bila kujali vyeti vyako nitakulipa nusu ya mshahara kwa mwaka mmoja ambapo kwa kipindi chote usipoweza kubuni kitu kipya cha kuendeleza kiwanda na utendaji wa kazi kwa ujumla hesabu huna kazi.
Sasa kama JPM alilinganisha uwezo wa akili ya Kishimba na Mtumishi wa Nshati na Madini kiwango cha PhD what is the implication?
Kwa maana hiyo basi Serikali isisomeshe Degree holders(Doctors na Professors) kwa vile Class 7 katoa wazo zuri kuhusu Madini? Kwanini Magufuli aliwaondoa Darasa la Saba wote kwene ajira? Upuuzi mtupu!!!
 
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.

Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.

Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.

Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.

Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.
Unajua kishumba hakusoma kwa elimu ya kawauda,alipotajirika alimuajuri profesa wa makerere ya uganda kumsomesha mambo mbalimbali na alikuwa chini ya prifesa huyo kwa miaka 15
 
Msingi wa elimu na kujifunza ulianza bila vyeti na dunia inapokwenda tayari tunafikia mahali ambapo vyeti vitakuwa sio benchmark tena ya mtu mmoja kuonekana wa maana kuliko mwingine.

Jumanne Kishimba ana skills za biashara ambazo ame-acquire/amezipata kwa kufanya mambo tena na tena. Skills zinakuwa acquire kwa kufanya jambo mara nyingi mpaka unakuwa bora zaidi.

Baadhi ya wasomi wakiwemo maprofesa, baadhi, hawana practical experience ya yale wanayosoma vitabuni hivyo wanabaki kuongea nadharia ili sio practical ambayo inajenga skills.

Mtu kama Kibajaji, hana degree ya political sc. Ila ana skills za kuzungumza na kushawishi watu kwa kujenga hoja simply yupo kwenye game ya majukwaa kwa muda mrefu. Kuna graduate au PhD holder ukimpa jukwaa la kushawishi watu kwa lugha rahisi ili wamwelewe wanakwama.

John Maxwell anasema, the highest degree of leadership is to connect and not to communicate. Mtu mwenye skill kama ni biashara yupo kitaa, anajua hustles za TRA customs, anajua TRA domestics tax, anajua nini TBS anataka, anajua nini halmashauri inataka, anajua nini osha inataka anajua bidhaa gani zinaenda na anazo takwimu kwanini hiki kikija kinatoka na hiki kinadoda.

Mtu anasoma vitabu na kuandaa powerpoint au kwenda na madodoso sio rahisi kupata exactly kama mtu anaeishi katikati ya jamii ana anafanya biashara kwa kupata hasara, then anapata faida, mara anakopa, mara

Tuheshimiane kwa misingi ya utu na sio kwa nani ana mavyeti mengi. Huo ni ubaguzi kama vila ubaguzi wa rangi.
Naongelea hii sentence yako ya mwisho(bolded).
Heshima ina pande zote mbili....Darasa la Saba aheshimu Wasomi wene degrees zao na wenye Degrees waheshimu Class 7! Sijasikia Ptofessor au Doctor Bungeni akiwatukana Class 7! Kuna tatixo hapa na linatengenezwa na Spika Ndugai na Naibu wake....they supposed to reverse this situation!
 
Unajua kishumba hakusoma kwa elimu ya kawauda,alipotajirika alimuajuri profesa wa makerere ya uganda kumsomesha mambo mbalimbali na alikuwa chini ya prifesa huyo kwa miaka 15
Sasa kama anadharau Wasomi Professors kwanini aliajiri Proffessor?
Inawezekana anachokuja ku-present Bungeni anaandikiwa na hao ma-professors anao waponda Bungeni....Pambaf!
 
Back
Top Bottom