Ungeisikiliza ndio ungejua kwa nini watu kama Gig Money ,Diamond nk wapo hapo walipo na wewe ni choka mbaya ingekusaidia kujua na wewe cha kufanya kuwa na impact kama wao na zaidiIngekuwa video ya Gigi money ningeangalia ila hio ndefu sana!
Nani kakwambia mimi nataka kuwa kama wao? Nimeridhika na kuchoka mbaya kwangu.Ungeisikiliza ndio ungejua kwa nini watu kama Gig Money ,Diamond nk wapo hapo walipo na wewe ni choka mbaya ingekusaidia kujua na wewe cha kufanya kuwa na impact kama wao na zaidi
Relax tunaichamgamsha wachangiaji waje.basi hii mada haikuhusu wewe ungejipitia kimya tu
we una stress sanaUngeisikiliza ndio ungejua kwa nini watu kama Gig Money ,Diamond nk wapo hapo walipo na wewe ni choka mbaya ingekusaidia kujua na wewe cha kufanya kuwa na impact kama wao na zaidi
Naona masisiemu mnatoana manundu wenyewe kwa wenyewe kwenye uzi wenu pendwa.basi hii mada haikuhusu wewe ungejipitia kimya tu
Umesema ni msahili mwenzettu nashangaa nimekuta anaongea kiingereza...msikilize huyu mtu ana hoja nzito zinazoweza kufanya upige hatua kubwa sana kwenye maisha yako msikilize mwanzo hadi mwisho mswahili mwenzetu huyu ana hoja nzito mno
mswahili mara ingine humaanisha ngozi nyeusi mwafrika mwenzetuUmesema ni msahili mwenzettu nashangaa nimekuta anaongea kiingereza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie mama asiwe busy kukusanya kodi tu. Dunia inaenda kwa kasi sana huku tukiishi km miaka ya 1770. Kenya wanatumia Paypal kuuza na kununua bidhaa toka nje na wapo mbali sana kiuchumi.basi hii mada haikuhusu wewe ungejipitia kimya tu
nimeandika sana humu ngoja nifufue uziMwambie mama asiwe busy kukusanya kodi tu. Dunia inaenda kwa kasi sana huku tukiishi km miaka ya 1770. Kenya wanatumia Paypal kuuza na kununua bidhaa toka nje na wapo mbali sana kiuchumi.
Mwambie, vijana tunahitaji Paypal.
msikilize huyu mtu ana hoja nzito zinazoweza kufanya upige hatua kubwa sana kwenye maisha yako msikilize mwanzo hadi mwisho mswahili mwenzetu huyu ana hoja nzito mno
msikilize huyu mtu ana hoja nzito zinazoweza kufanya upige hatua kubwa sana kwenye maisha yako msikilize mwanzo hadi mwisho mswahili mwenzetu huyu ana hoja nzito mno