trisha cute
Senior Member
- Dec 1, 2020
- 194
- 607
Habari
Leo nimeona niseme hii kitu mara nyingi kwenye mahusiano tuna mitazamo tofauti mwingine upendo kwake mpaka apewe attention, mwingine pesa nk
Lakini binafsi yangu naona upendo nikupenda mtu kwa dhati na uhalisia lakini kwa sasa naona suala hili limekua tofauti kwa watu
Watu wengi hivi sasa wanathamin zaid vitu kuliko kitu kingine na kusahau kuwa VITU HAVINA NGUVU YOYOTE KATIKA MAPENZI BALI UPENDO WA KWELI
Mfano mzuri ni hiki kilichomkuta Sarah huyu dada sijui nimuiteje lakin let me guess nimuite wa KUKURUPUKA MWENYE UZENZENZEE aliamin mapenzi ni kitu akawa anatumia nguvu ya pesa kwa Harmonize na kuamin amemteka pasipo kujua upendo nini
Nb. Tupendane kwa dhati na kwa uhalisia wewe mdada/kaka unapokuwa na mtu kuwa halisi acha kutumia nguvu ya pesa kumvuta yoyote na hii pia iwe fundisho for both sides TUACHE KUJITUTUMUA TUWE HALISI KWENYE MAHUSIANO
JE UHALISIA WAKO WEWE NI UPI UNAPOKUA NA MTU AU NDIO UNAAZIMA MAGARI NA MPAKA KUKOPA PESA ILI UJITUTUMUE?
#SHARE UR EXPERIENCE
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Leo nimeona niseme hii kitu mara nyingi kwenye mahusiano tuna mitazamo tofauti mwingine upendo kwake mpaka apewe attention, mwingine pesa nk
Lakini binafsi yangu naona upendo nikupenda mtu kwa dhati na uhalisia lakini kwa sasa naona suala hili limekua tofauti kwa watu
Watu wengi hivi sasa wanathamin zaid vitu kuliko kitu kingine na kusahau kuwa VITU HAVINA NGUVU YOYOTE KATIKA MAPENZI BALI UPENDO WA KWELI
Mfano mzuri ni hiki kilichomkuta Sarah huyu dada sijui nimuiteje lakin let me guess nimuite wa KUKURUPUKA MWENYE UZENZENZEE aliamin mapenzi ni kitu akawa anatumia nguvu ya pesa kwa Harmonize na kuamin amemteka pasipo kujua upendo nini
Nb. Tupendane kwa dhati na kwa uhalisia wewe mdada/kaka unapokuwa na mtu kuwa halisi acha kutumia nguvu ya pesa kumvuta yoyote na hii pia iwe fundisho for both sides TUACHE KUJITUTUMUA TUWE HALISI KWENYE MAHUSIANO
JE UHALISIA WAKO WEWE NI UPI UNAPOKUA NA MTU AU NDIO UNAAZIMA MAGARI NA MPAKA KUKOPA PESA ILI UJITUTUMUE?
#SHARE UR EXPERIENCE
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app