Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Ukimkuta mwanao wa kumzaa amekaa hapo na ndio ulitaka kuingia kwenye gari uondoke maana uawahi kazini utafamyaje na kipi utamwambia mama yake,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namgonga apate funzo.Alawido Utamtoa au utamuacha aendelee kukaa hapo kwakuwa ni kipaji cha ubunifu
Kwa umri wa huyo mtoto, wazazi/ walezi wake ni wazembe asilimia 100. Mtoto huyo anahitaji toys na sio makopo ili awe muumini mzuri wa demokrasia ya kweli. Kingine, gari lazima ziwe na garage yenye mlango.Ukimkuta mwanao wa kumzaa amekaa hapo na ndio ulitaka kuingia kwenye gari uondoke maana uawahi kazini utafamyaje na kipi utamwambia mama yake,
View attachment 1110997
Mwisho wa siku maumivu unayapata weweNamgonga apate funzo.
Naam Elimu kwa Vitendo.Mwisho wa siku maumivu unayapata wewe
Hauwezi ingia kwa gari bila kukagua mbele nyuma na chini yake. Washamba wa hizi vitu ndo hao hukurupukaga tuu. Ko in short kama mm ningemuona tuu labda kesi ingekua kwa maza akeUkimkuta mwanao wa kumzaa amekaa hapo na ndio ulitaka kuingia kwenye gari uondoke maana uawahi kazini utafamyaje na kipi utamwambia mama yake,
View attachment 1110997
Hapo sasa used car inaingiliana vip na mtoto alipoenda kukaa sehem za hatariMuache kununua used cars
Mtoto anakariri sana.. Kama baba au mama kila siku anakuona upo na spana chini ya gari ,na yeye anaigaHapo sasa used car inaingiliana vip na mtoto alipoenda kukaa sehem za hatari
Ukimkuta mwanao wa kumzaa amekaa hapo na ndio ulitaka kuingia kwenye gari uondoke maana uawahi kazini utafamyaje na kipi utamwambia mama yake,
View attachment 1110997