BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,041
Wana jf habar zenu,
Kuna dada nilimkopesha laki5 daah nilishangaa nampa tu dada tumefahamiana week tu kakopa 500k cash nmempa bila kipingamizi. Alinambia baada ya week anarejesha sasa week ya3 inaisha afu hata kunitafuta sahiv hakuna so kama before toka nimkope kanitafuta siku2 za mwanzo mpaka leo kimya. Kinachouma sikumla nilifeli sana na alikuja kwangu kuichukulia hyo cash.
500k zangu inauma si bora ningempa mama la mama akanunue pamba apendeze🤡
Kuna dada nilimkopesha laki5 daah nilishangaa nampa tu dada tumefahamiana week tu kakopa 500k cash nmempa bila kipingamizi. Alinambia baada ya week anarejesha sasa week ya3 inaisha afu hata kunitafuta sahiv hakuna so kama before toka nimkope kanitafuta siku2 za mwanzo mpaka leo kimya. Kinachouma sikumla nilifeli sana na alikuja kwangu kuichukulia hyo cash.
500k zangu inauma si bora ningempa mama la mama akanunue pamba apendeze🤡