Itakua milioni 34 na nusu yake yaani 17 MTEMBO = USD 15,000 ~ mil 34.6 NYATI = USD 1,900~ mil 4.3 SIMBA = USD 4,900~ mil 11.3 CHUI = USD 3,500~ mil 8 TWIGA = USD 15,000~ mil 34.6 FISI = USD 550~ mil 1.2 NGIRI = USD 450~ mil 1 NYANI = USD 110~ laki 254 PUNDAMILIA = USD 1200~mil 2.7 SWALA = USD 390~ laki 9 ukipata ajali ndani ya mbuga Tsh 200,000 ukizidisha mwendo faini yake ni Tsh . 30,000/= . .
Sijui twiga mwenye mimba na yeye ana charges zake au vipi
Aliyekwambia duniani binadamu ana thamani ni nani?..Mzee wa vijisenti aligonga mtu kwa gari akalipishwa 700,000/=,kwa maana hiyo Twiga anathamani kuliko binadamu.
Hivyo akiwa kwake ni haki yake kutugongea magari yetu, kama ni hivyo kulikuwa na sababu gani kuruhusu barabara ipite mikumi ikiwa watumiaji hatuna haki na wajibu??
Kama mimba changa je?Huyo twiga hawawezi kumfanyia scissor kumtoa mtoto twiga jomoniii😥wasiondoke wotee😔
Rip mama twiga.
Mhh...Ile sio changa lol..basi kama ni hivyo wakaiweke kwenye chupa kama pre-mature,.Kama mimba changa je?
Gari ina insurance watalipa, sasa kama ana zile insurance za kimaskini atanyooka.
Haha shingo itabaki nje ya chupaMhh...Ile sio changa lol..basi kama ni hivyo wakaiweke kwenye chupa kama pre-mature,.
Kuna insurance za kimaskini?duhGari ina insurance watalipa, sasa kama ana zile insurance za kimaskini atanyooka.
Bora awe hai tuu😀Haha shingo itabaki nje ya chupa
Unaenda kichakani unakutana na fisi na watoto wakeMwambieni afanye kama anaenda kukojoa kichakani awaachie hilo gari na mizigo lililoibeba.
Watamdungua maana hakuna maaskari wenye roho mbaya kama askari game
Wadau msihukumu kwa kutazama upande mmoja kuna uwezekano dereva hana kosa lolote na hata kama lipo ni mpaka mahakama idhibitishe....
Hamjiulizi ikiwa twiga ndie kaligonga gari itakuaje?
Tuseme dereva alikuwa speed 20 ghafla twiga katokea anakimbizwa na mnyama mkali then kalivaa gari! Hapo dereva anakosa gani?
Endapo dereva akijitetea ndio alimuona twiga mapema na akasimamisha gari ila twiga ktk harakati za kujiokoa akalivaa gari nani atapinga? Huyo twiga hapo anajiteteaje? Ikiwa hilo eneo halina camera zilizoweza kurekodi hilo tukio utapingaje dereva hakusimamisha gari?
Jiulize kama binadamu na akili zake timamu anagonga treni vp kwa mnyama??
Izo sheria mbugani hazitumiki mkuuuBima inalipa
Mkuu una nia gani na dereva, mbona una muwazia mabayaUnaenda kichakani unakutana na fisi na watoto wake
bango limesema twiga milioni nyingi hizo walizotaja so kwa sababu tu ni twiga haijalishi mkubwa au mdogo ni milioni izo hapo kwenye bangoItakua milioni 34 na nusu yake yaani 17 M
Jumla 51M
Unajua twiga alikuwa speed ipi na uzito wake?Gari ipo 20 igongwe na twiga ikunjike hivyo?!!!!