Ukimfumania mkeo na jamaa kitandani kwenye nyumba yako, maamuzi gani utachukua?

marcoveratti

JF-Expert Member
Sep 21, 2017
960
1,683
Ukimfumania mkeo na jamaa kitandani kwenye nyumba yako, maamuzi gani utachukua? Share experience yako
20221210_015057.jpg
 
Mke sipigi,Nampa njemba kichwa kimoja hatari,angoke hata jino moja,namuachia alama ya ukumbusho,naita majirani,mwenyekiti wa mtaa,Ili nipate ushahidi wa kudai fidia,then mke namuambia aondeke na njemba yake,kesho mahakamani,nadai fidia,jamaa akilipa,naitumia kulipa mahari,naoa dada wa wife,au kama Kuna single lady kitaa,kwenye jumuia naoa huyo,maisha yanaendelea.
 
Kwanza nawaita masela zangu wa wawili natoka nje nafunga PUTURUU kabisa....

wakishafika masela tunampa kichapo jamaa mpaka alainike,nampaka KY au GLISELIN..halafu NAMFIRA SANA
Wakati namla KISAMVU jamaa,wale masela kazi yao ni KUMFIRA wife tena kwa zamu mpaka AHARISHE...

Nawalipa masela,nampiga picha mgoni wangu,Namuacha aende...NAMSAMEHE WIFE TUNAISHI
 
Kwanza nawaita masela zangu wa wawili natoka nje nafunga PUTURUU kabisa....

wakishafika masela tunampa kichapo jamaa mpaka alainike,nampaka KY au GLISELIN..halafu NAMFIRA SANA
Wakati namla KISAMVU jamaa,wale masela kazi yao ni KUMFIRA wife tena kwa zamu mpaka AHARISHE...

Nawalipa masela,nampiga picha mgoni wangu,Namuacha aende...NAMSAMEHE WIFE TUNAISHI
Yaani unamsamehe uku kashafirwa ???
 
Nashusha mizigo yangu kwanza kisha naelekea sebuleni na kuwasha subwoofer ili nisisikie kelele zao pia miziki ni ile ya kuondoa stress....

Navuta mvinyo zangu taratibu najifariji wakimaliza nawaambia waondoke wote wasaidiane mizigo....

Kama hawana nauli nawapakia kwenye wangu bye bye
 
Kwanza nawaita masela zangu wa wawili natoka nje nafunga PUTURUU kabisa....

wakishafika masela tunampa kichapo jamaa mpaka alainike,nampaka KY au GLISELIN..halafu NAMFIRA SANA
Wakati namla KISAMVU jamaa,wale masela kazi yao ni KUMFIRA wife tena kwa zamu mpaka AHARISHE...

Nawalipa masela,nampiga picha mgoni wangu,Namuacha aende...NAMSAMEHE WIFE TUNAISHI
Duh hii kali
 
Pana jamaa mke wake alimgomea kumpa asubui akidai anaumwa jamaa kaondoka asubui kuwahi mishe mishe, akasau kitu akarudi nyumbani kurudi anasikia milio ya ngono ile kuchungulia dirishani anakuta mgoni na mkewe wanasakata kabumbu hatari Uwanjani kitandani kwake mke akitoa ushirikiano wa 5G,jamaa hakuamini alipigwa na butwaa akamwambia mgoni wake mwachee..! huyo anaumwa.
 
Mke sipigi,Nampa njemba kichwa kimoja hatari,angoke hata jino moja,namuachia alama ya ukumbusho,naita majirani,mwenyekiti wa mtaa,Ili nipate ushahidi wa kudai fidia,then mke namuambia aondeke na njemba yake,kesho mahakamani,nadai fidia,jamaa akilipa,naitumia kulipa mahari,naoa dada wa wife,au kama Kuna single lady kitaa,kwenye jumuia naoa huyo,maisha yanaendelea.
Maamuzi ya kukurupuka kwani hio fidia atakuwa anatembea nayo mda huo wa mahakamani,utavuta fasta yeyeto kwa hasira baada ya hasira kupoa utaona afai
 
Ukimfumania mkeo na jamaa kitandani kwenye nyumba yako, maamuzi gani utachukua? Share experience yako View attachment 2441331
cha kwanza kama jamaa namfaham na anajua kabisa uyo ni mke wangu lazima lazima nimfanyie aliwe ndogo kwa hali na mali sababu kafanya makusudi hata kama kashawishiwa

pili kama jamaa simfaham na wala hatufahamian inawezekana kadanganywa mke wangu hajaolewa ivyo namuacha aondoke zake na mke ndio mwisho wake kuwa mke
 
Back
Top Bottom