venchwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 1,677
- 1,592
- Thread starter
- #121
HeheheMimi binafsi,
Nikimfumania guest house au lodge; namtimua kwangu.
Nikimfumania nyumbani kwangu kama chumbani hivi; namtimua pia. Lakini kwa sababu nyumba/chumba changu kitakuwa kinanikumbushia maumivu, itabidi tu nihame, nipangishe au niiuze. Sasa kutokana na usumbufu huo, ajue tu kabisa huko aliko KISASI kinakuja. Ntakachomfanya, atakikumbuka mpaka siku anakata pumzi.
Hivyo basi, ewe future wife, kama utapitia uzi huu; usinisaliti. Ukinisaliti, hakikisha nisijue. Ukishindwa kuzuia hivyo, basi fanya nje ya nyumba yangu. Tafadhali.