Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,410
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.
Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.
Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.
Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.
Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.