Ukimfanyia hivi mwanamke mpenda hela wallah hatakusahau

Asanteh kwa ushauri ..lakini wanaume wa ivyo awa exist dunia ii.labda kama ume tokea ww tuku peleke labaratory kwa uchunguzi zaidi

Time is a drug. Too much of it kills you
Mbona kawaida tuu, unaingia na demu guest unamwambia tupime ukimwi anagoma na huku mlishapanga kupima kabla ya kudo, hapo ndo huwa nawambia wape salamu zao.
 
Mi niliweza kuacha kumtafuna mwanamke baada ya kumpima oil nikanusa kidole kikawa uke ukawa unanuka zile comdom za 3 bomba ndizi, chocolate nikamwambia wazi katoka kutumika akakataa nikavaa zangu nikaondoka hakuamini macho yako
We Ni kamanda ukamchana live duh ulimharibu sana kisaikolojia
 
Asanteh kwa ushauri ..lakini wanaume wa ivyo awa exist dunia ii.labda kama ume tokea ww tuku peleke labaratory kwa uchunguzi zaidi

Time is a drug. Too much of it kills you
Nishalala nao kitanda kimoja, kama sijaamua sivui jeans yangu ya kaptula hadi kuche.
 
Katika mizunguko yako ikiwa umeonana na mwanamke nawe ukajiongeza juu yake.
Mwanamke naye akaamua kujiongeza juu yako kwa kukufanya ATM machine huku akikizuga kwa vimeseji vya I love you na wakati mwingine hata kukutumia picha zake za ndani ilimradi tu ukamilishe muamala.

Huyo demu muhuni mpenda pesa dawa yake ni kutumia gharama yoyote umwingize guest house kisha mpange aanze kuvua. Akivua mwangalie kunako huku simu umeitega alarm ikilia unajifanya kuipokea unatokomea mazima abaki na papuchi yake.

Kama kwao mbali mtumie nauli kwa simu kisha umpotezee mazima.
Unamkomoa Nani Hapo mkuu, umeliwa hela ili ukashangae papuchi bila kuila? Ni ujinga huo, Kula tunda mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tukishaingia geust halafu umevua msambwanda huu hapa eti ughairin hivi hivi haiwezekani aisee!!

Labda ukute kitu Cha ajabu kwenye huo mwili wa huyo mwanamke stimu zinaweza kata automatically

Ila unakutana na saasita,msambwanda,ngozi laini halafu eti unakimbia daaah utakuwa umeabisha kambi

Suluhisho ni kumchinjia kabla hamjafika gesti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Temea mate au mwagia mchanga kama nia ni kumkomoa, ila hatokusahau na anaweza kukuchukia maisha yake yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom