Hivi TAKUKURU si wana uwezo wa kulishughulikia hili,hao wadada wanashindwa nini kutoa taarifa kisha kuwaelekeza jamaa eneo la tukio wakiwa na waandishi?Kulikomesha hili ni kazi rahisi sana tatizo kubwa ni kuwa wengi wa wanachuo siku hizi wanapenda mteremko..
Hivi TAKUKURU si wana uwezo wa kulishughulikia hili,hao wadada wanashindwa nini kutoa taarifa kisha kuwaelekeza jamaa eneo la tukio wakiwa na waandishi?Kulikomesha hili ni kazi rahisi sana tatizo kubwa ni kuwa wengi wa wanachuo siku hizi wanapenda mteremko..