Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,684
- 225,319
Tulia hapo hapo, planet hawawezi niangusha, piano zinakuja.ATA sijui saa ngapi
Nahamia Jameson mkion kimya mjue tayari
ATA sijui saa ngapi
Hapo magoli... piga vyombo
Pale nyerere square kwa hivi kidogo kama waja halotel unaikuta maisha club kwa nje palikuwaga na vyuku amazing ila hawajawafikia chako ni chako.
Dom nimekaa miaka mingi sana,nimeishia kupajua jamatin.
Sijui kwanini sikujaribu kujichanganya na mm siku moja niende huko Pestana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamelewa wana time na wewe? Hujakaa na walevi nakuambia ni watu peace na waelewa balaa
Basi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo huku unageuka kushoto then kulia taratiiibu
Hana anachojua... afu wala hana shida anaona sawa tu.Pale nyerere square kwa hivi kidogo kama waja halotel unaikuta maisha club kwa nje palikuwaga na vyuku amazing ila hawajawafikia chako ni chako.
Usiniambie pia ulikuwa huli kuku. Na bakhresa pia?
Kumbe kuna hii trickNatafuta popcorn nacheua tu
Hahahaha weweeeeBasi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo huku unageuka kushoto then kulia taratiiibu
MweeePale nyerere square kwa hivi kidogo kama waja halotel unaikuta maisha club kwa nje palikuwaga na vyuku amazing ila hawajawafikia chako ni chako.
Usiniambie pia ulikuwa huli kuku. Na bakhresa pia?
Hana anachojua... afu wala hana shida anaona sawa tu.
Yeye na mpenzi wake wote ni kanisani then nyumbani
Ah wapi niko kitandani hapa nimejikunyata.... ila bado mapema nikipata kampani naingia viwanjaHahahaha weweeee
Unaonesha ni benga mmoja pro max
Watu wamelewa wana time na wewe? Hujakaa na walevi nakuambia ni watu peace na waelewa balaa
🤣🤣🤣 nacheka leoHana anachojua... afu wala hana shida anaona sawa tu.
Yeye na mpenzi wake wote ni kanisani then nyumbani
8 kasoro? Ulale tuAh wapi niko kitandani hapa nimejikunyata.... ila bado mapema nikipata kampani naingia viwanja
Basi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo huku unageuka kushoto then kulia taratiiibu
Ah wapi niko kitandani hapa nimejikunyata.... ila bado mapema nikipata kampani naingia viwanja
Hatujui itakuaje mpaka upige vyombo ndio uijue tabia yako.
Niko Dodoma sahivi bossNjoo small planet
Kumbe kuna hii trick