richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 574
- 933
Yaan na unaweka ahadi asubuh unaenda kutoa sadaka, zikiisha na wazo linayeyukaYani unamshukuru Mungu kwa vingi ndaniya wakati huo... kakujaalia uwezo wa kununua na afya njema kias cha kuweza kunywa uufaidi uumbaji wake. Lazma feeling ziende mbinguni tu