Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,060
- 188,041
Na uwezo unao.View attachment 1874772
Shetanii Ako na nguvu jamani
SA hii team usijethubutu kukaa nayo 😂 Nakwambia hutokumbuka nyumbani ulifikaje.
Na uwezo unao.View attachment 1874772
Shetanii Ako na nguvu jamani
Hawa nikikaa nao nitarudi nyumbani nikiwa nimezimiaNa uwezo unao.
SA hii team usijethubutu kukaa nayo Nakwambia hutokumbuka nyumbani ulifikaje.
Na uwezo unao.
SA hii team usijethubutu kukaa nayo Nakwambia hutokumbuka nyumbani ulifikaje.
Yaani ni hii timu siyo Poa kabisa
Hapa wanasema bado mapema kuondoka nyumbani
Mpaka majogooYaani ni hii timu siyo Poa kabisa
Hapa wanasema bado mapema kuondoka nyumbani
kimeumanaShindwa shetani
wewe jamaa pimbi Sana aiseeKila aina ya pombe na tabia zake!
Mimi kinywaji changu ni KVANT sio kwamba naipenda sana noo sababu naimudu gharama yake!
Nikilewa kvant huwa natoa siri sana halafu nakuwa mmbea kinoma...
Kama uliniambia ishu ya siri ukanisisitiza nisiiseme!!!...nikinywa kvant nitaitoa tuu halafu hapohapo naanza kujutia...
Najiapia sitakunywa tena kvant!!
Lakini utasema nimeandikiwa fungu langu ni la kvant tuuu.kesho nitainywa.
Bia ni mpenzi wa kili..
Nitakunywa nitalewa vzr nitaongea point taeleweka..
Ila mwisho kvant lazma ihusike..
hahahahahahhah siku tuaangalie wote....ile game ya kigoma baada ya mukoko kula red nikaona nikiangalia kama sijalewa naweza kufa kwa presh....Na ukinikuta bar kwenye match za simba navyokunywa alvaro hutoamini.
Mkuu utadhani unanisema Mimi siku hiyo nikigonga k vant ndogo tatu peke yangu Jambo ambalo sio kawaida yangu,baada tu ya red card nikaagiza kitimoto nusu na vant ikawa unashuka kinyama huku naangalia gamehahahahahahhah siku tuaangalie wote....ile game ya kigoma baada ya mukoko kula red nikaona nikiangalia kama sijalewa naweza kufa kwa presh....
nikapga k vant ndogo atleast nikaanza kuchukulia maisha kawaidanikaangalia nimerelax kabsa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
wine za kupima umekikumbusha domUlienda kusoma dada. Si ulitumwa na Mbeya nzima? wala usisikitike.
Unapajua sehemu gani sasa wewe? Si ajabu hata msalato hujawahi fika. Hata wine za kupima za Dom hujawahi kunywa dah
hamkulani??Kuna watu fulani katika jamii zetu pengine kwa status zao wanajificha Kula Tungi ila mimi nilisha sema Hapana Siku nikiwa Na Mood ntakunywa tu, Hio ni maisha yangu binafsi I haven't come there to impress community, Nina Rafiki yangu mmoja Ni KE Huwa anajificha kupiga vyombo based on her status Siku akiwa Na Kiu huja Geto asubuhi kabisa sana sana weekend Tunaagiza Vyombo vile Konki Ngumu Pamoja Na Nyasi till kesho yake. Kwangu Pamejificha sana
mzeee sio poa....et ile vant ilivyoisha ndio roho ikaaanza kuniuma....pombe sometimes ni ufalaMkuu utadhani unanisema Mimi siku hiyo nikigonga k vant ndogo tatu peke yangu Jambo ambalo sio kawaida yangu,baada tu ya red card nikaagiza kitimoto nusu na vant ikawa unashuka kinyama huku naangalia game
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
hahahhahhahahahahahha nimecheka sana.....waliokua wanamshawishi wote wameyeyaaHaoni team ya waliokuwa wanamwambia asijaribu washasepa... ila sisi tuko naye bega kw bega hatutaki kumpoteza
Hivi nakunywa hata 20 sivisikii, ila serengeti lager sita kubwa niko taaban.Acheni masikhara kuna watu bia za TZ tunalewa chap