Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Hahahaaaaaaamuhimili CCM ndio inaangalia mihimili mingine ya dola isiingiliane
Hahahaaaaaaamuhimili CCM ndio inaangalia mihimili mingine ya dola isiingiliane
Yiyu sheping umenipa raha sana. Naamini ukiwa wameelewaHuyo mlw wako alikufundisha kijuujuu sana. Je alikufundisha ukweli kuwa wajumbe wa legislature wa kiamua kumkimbia kiongozi wa mhimili wao, tena kwa akili timamu na hiari yao wenyewe kitakachotokea ni kukosa cha kuwa ambia wanao wawakilisha na kuishia kulalamika kila uchao?
Wanajiita nao ni mhimili kupitia Civil Societies maana nao wana yao mengi tu ambayo hayapo kwa serikali, mahakama wala bungeniliwahi kusikia hata waandishi wa habari wanataka mhimili wao
inamaana ni mhimili ila sio rasmi!!Wanajiita nao ni mhimili kupitia Civil Societies maana nao wana yao mengi tu ambayo hayapo kwa serikali, mahakama wala bunge
Katika medani za siasa, siyo mhimiliinamaana ni mhimili ila sio rasmi!!
Wakuu salamu!
Wakati nikiwa shuleni nilibahatika kusoma kidogo siasa. Katika jambo ambalo Mwalimu wangu alinifundisha ni kuwa Nchi za Kidemokrasia zinakuwa na Mihimi Mitatu ya Dola. Akaniambia mmoja unaitwa "Executive" mwingine "Legislature" na wa tatu ni "Judiciary". Akiwa amenikazia macho, huku akiongea kwa ukali kidogo na akionesha kusisitiza akaniambia "Mihimili hii ni kwa ajili ya Check and Balance! . Hakuna muhimili unaotakiwa kwa sababu au kwa namna yeyote kuingilia majukumu ya mwingine. Ni mwiko! kufanya hivyo ni kinyume na Katiba na sheria".
Uzembe ambao niliufanya ni kutokumuuliza kwamba ni nani sasa mwenye wajibu wa kuhakikisha kuwa mihimili hii haiingiliani kimajukumu na kama muhimili mmoja kwa 'Makusudi' ukaamua kufanya kazi za mihimili mingine ni nani mwenye wajibu na nguvu ya kuzuilia hilo lisitokee!? . Au kwa lugha nyingine, kama muhimili mmoja kwa makusudi ukiamua kwenda kinyume na Katiba ni nini cha kufanya na ni nani mwenye wajibu na uwezo wa kufanya? ( tunaweza kutolea mifano nchi za Afrika Magharibi).
Kwa kuwa nilishafanya uzembe huo wakati nikiwa shuleni, labda sasa niombe mwenye ujuzi anisadie uelewa! maana nimejuuliza sijapata jibu kwa kweli.
Mkuu, sasa kwa kuwa kuna mihimili isiyo na vyombo vya kutumia nguvu na silaha yao ni kujieleza tu, sasa ikidhibitiwa itakuwa je? kwa mfano nilikuwa nafuatilia taarifa nikaona huko Kenya kuna Wakili kauawa pamoja na mteja wake! walichokifanya mawakili wanaandamana (wakiomboleza) lakini najiuliza pia kwa mfano kama wangezuiwa wangefanya je zaidi ya kutulia tu? nafikiri waliotengeneza, au wataalamu wa nadharia hizi hasa Wasomi wa Political Science kuna vitu wanatakiwa watusaidie kwamba ulinzi wa mihimili hii kweli unaweza kuwa "guaranteed" practically kweli! na kivipi? au angalau ni kinadharia zaidi tu na kama ni nadharia, basi kutumaini katika nadharia ambazo practically hazina uhakika nayo inakuwa je?.
Mwananchi alifungua kesi mahakamani ya kutotendewa haki na polisi wa Kenya , mwananchi (mteja) akatafuta wakili wakumtetea mahakamani. Wakati wakili na mteja wake wanatoka mahakamani (kufungua kesi husika ili haki ipatikane), wakauwa na polisi wakaatupwa mtoni. Nafikiri unaona huo mkanganyiko hapo.Mkuu sasa wakili ana uhusiano gani na mihimili mingine?au tuseme ni Jaji... Hapo sasa muhimili mwingine wa executive unaingilia, polisi watafanya kazi yao, watapeleka watu mahakamani...mahakama itafanya kazi yake, ila ndio mpaka hapo katiba itakapokuwa na nguvu dhidi ya wale walioapa kuilinda katiba hiyo
Katika kilatini kuna msemo "abusus non tollit usum" maana yake misuse does not remove use, Just because something is misused doesn't mean it can't be used correctly.Mwananchi alifungua kesi mahakamani ya kutotendewa haki na polisi wa Kenya , mwananchi (mteja) akatafuta wakili wakumtetea mahakamani. Wakati wakili na mteja wake wanatoka mahakamani (kufungua kesi husika ili haki ipatikane), wakauwa na polisi wakaatupwa mtoni. Nafikiri unaona huo mkanganyiko hapo.
Mkuu, hakuna aliyesema haifai. Binafi ni miongoni mwa wanaoipendwa sana ila swali la msingi ni ikiwa ni nani mwenye jukumu na nguvu ya kuzuilia mhimili mmoja ambao kwa makusudi umeamua kiingilia shunguli za mwingine kwa namna moja ama nyingine?Katika kilatini kuna msemo "abusus non tollit usum" maana yake misuse does not remove use, Just because something is misused doesn't mean it can't be used correctly.
Huu mfano umetoka kwenye scenario ambayo justice imekuwa abused. Hauna maana kwamba checks and balance haifai.
Bravo..Kinadharia mihimili yote inasimamiana.
Kwa mfano, muhimili wa executive, rais akikiuka kiapo chake au kuvunja katiba, muhimili wa legislature unaweza kuanzisha impeachment process itakayofika kwenye muhimili wa judiciary na rais akipatikana na makosa anaondolewa.
Vivyo hivyo rais anaweza kuanzisha process ndefu sana ya kikatiba ya kumtoa Jaji.
Pia Mahakama inaweza kumkuta mbunge na hatia nje ya kinga ya kibunge, hatia ambayo inaweza kumvua mbunge ubunge.
Zaidi ya hapo, rais anaweza kukataa kutia sahihi muswada uliopitishwa na bunge kuwa sheria. Bila sahihi ya rais muswada hauwi sheria.
Kuna mengi yanayohusika katika checks and balance, kimsingi ni kwamba hakuna aliye juu ya mwenzake, wote wanatakiwa kuangaliana.
Kinadharia.
Kiukweli Magufuli kashaingilia bunge tangu fedha za tafrija zilipopelekwa hospitalini. Kaingilia Mahakama na kuahidi kuipa hela ikitoa maamuzi fulani.
Magufuli hajui au hajali checks and balance.
Atakuwa amepewa hilo swali na mwalimu wake.kwanza hilo swali halitoki soma mengine
Mihimili miwili mingine ina jukumu hilo.Mkuu, hakuna aliyesema haifai. Binafi ni miongoni mwa wanaoipendwa sana ila swali la msingi ni ikiwa ni nani mwenye jukumu na nguvu ya kuzuilia mhimili mmoja ambao kwa makusudi umeamua kiingilia shunguli za mwingine kwa namna moja ama nyingine?