squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,174
Atakuwa na rambo moja hatari.
Iyo product hata Rwanda haipo mkuu
Huyo chizi tuTunatishana mkuu. Hapa ninapokaa kuna nyumba jirani inasemekana hawaishi watu kuna majini. Sasa nimeangalia ndani kuna chumba kimoja nimeona mwanamke na kama alikua hatulizi kichwa. Nimewaza ndo jini au kitu gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa una maroba mangapi ya dhahabu fasta uwe mkweNapenda sana wanawake warefu!!
Hahahahaaa njoo kwangu kuna amani mkuu Mzigua90:Tunatishana mkuu. Hapa ninapokaa kuna nyumba jirani inasemekana hawaishi watu kuna majini. Sasa nimeangalia ndani kuna chumba kimoja nimeona mwanamke na kama alikua hatulizi kichwa. Nimewaza ndo jini au kitu gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja sana mkuu karibu.ni mbioo tuu...tena ujitahidi,maanake hatua yake moja,wewe umekimbia kama hatua tatu...yaani leo nimecheka,thanks mkuu
Capt Tamar soma post #29 basi naanza kukuita mkweNapenda sana wanawake warefu!!
Dhahabu. Sijawahi hata kuigusa kwa kidole achilia mbali kumiliki! Mi huwa nawapenda tu kuwaangalia!Jamaa una maroba mangapi ya dhahabu fasta uwe mkwe
Sawa Mkuu ila nimecheka sanaDhahabu. Sijawahi hata kuigusa kwa kidole achilia mbali kumiliki! Mi huwa nawapenda tu kuwaangalia!
Daah huyo atakuwa na kina kirefuu..Si nyie wanaume ndio mnasemaga mnapenda "wembamba" huyo sasa