Huu uzungu hatari,kwa sie ambao tuna watoto wa like,unaweza kukaa nae hicho,akiwa bado mdogo,miaka mpaka Kitano,sita HV,
Lakini akisha kuwa mdada kama huyu,huku ni kutafuta balaa,hii haijaturia kabisa
Duh mie mzee wakugegeda lakini Sasa haya mawazo yenu yamezidi kwa kweli...ur own daughter ushindwe kukaa nae Adele na daddy