Ukikutana na bwana MIKATABA YA MIGA utamfanyeje?

Mudawote

JF-Expert Member
Jul 10, 2013
10,041
12,520
Yule mwenye jina la MIKATABA YA MIGA ikitokea umekaa naye siti moja kwenye mwendo kasi utamfanyeje?

Mimi nadhani nitamzaba kibao

Je wewe utamfanyeje?
 
Kama unamaanisha TUNDU ANTIPASI LISSU nie nitaomba kupiga naye picha na nitampongeza kwa kumfukuza baba yetu anayejisifia anambio bila kumtaja anayemkimbiza....nitamwambia kuwa hata akifa leo yeye ni shujaa wa taifa na mfano wa kuigwa na pia nitamwambia imebarikiwa siku iliyotungwa mimba yako na wazazi wako wote wamebarikiwa na familia yako ni yenye bahati kuwa na baba kama wewe.
Pia nitamnongoneza kuwa yeye ni nabii kundi moja na ABRAHAM MUSSA NUHU YESU NA WENGININEO KAMA NYERERE NA CHE GUEVARA.
 
Yule mwenye jina la MIKATABA YA MIGA ikitokea umekaa naye siti moja kwenye mwendo kasi utamfanyeje?

Mimi nadhani nitamzaba kibao

Je wewe utamfanyeje?

Nitampa big up kwanza nitamlipia nauli na kumshauri aendelee kuwasumbua matahira wanaopitisha miswada bungeni then ikibuma wanajiita wazalendo

Nitamshauri agombee uraisi 2020 maana kwa sasa hakuna Mwenye akili zaidi yake na system imeshafeli
 
Kama unamaanisha TUNDU ANTIPASI LISSU nie nitaomba kupiga naye picha na nitampongeza kwa kumfukuza baba yetu anayejisifia anambio bila kumtaja anayemkimbiza....nitamwambia kuwa hata akifa leo yeye ni shujaa wa taifa na mfano wa kuigwa na pia nitamwambia imebarikiwa siku iliyotungwa mimba yako na wazazi wako wote wamebarikiwa na familia yako ni yenye bahati kuwa na baba kama wewe.
Pia nitamnongoneza kuwa yeye ni nabii kundi moja na ABRAHAM MUSSA NUHU YESU NA WENGININEO KAMA NYERERE NA CHE GUEVARA.
Umeongea ya msingi lakini naomba nikurekebishe sehemu moja ... YESU huwezi kumweka kundi moja na hao wanadamu. Rekebisha hapo..!
 
Mimi nitampongeza kwa sababu aliyoyaamini na kushauri ndio yanayafanyiwa kazi. Leo tunarudi mezani na WEZI, tena tunawasifia/tunawashangaa kwa kuja na ndege yao Binafsi. . Mzee wa Fenti fodi anaenda kinyume kabisa na mapendekezo ya Tume. Sasa hivi kiki sio mchanga tena
 
Back
Top Bottom