Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila papuchi tamu aisee...Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.
Mbona mna jua wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Sio wote. Mimi natumia hio njia kujua uaminifu wa mwanamke. Wapo waliorudisha.. wapo ambao hawakurudisha. Nawakamata kwanza wajue ilikuwa mtego, na kazi wanakosa kimoja.Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.
Mbona mna jua wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Bora hata ya ninyi mnaofua, kuna mizigo mingine mpaka keroWakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.
Mbona mna jua wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Mkuu umepgwa na kitu kizito nn?Bora hata ya ninyi mnaofua, kuna mizigo mingine mpaka kero
Hahahaaaa hamna mkuu, iliwahi kutokea kipindi cha nyuma huko.Mkuu umepgwa na kitu kizito nn?
Sikutegemea we Dada Utaandika Haya Na Kasura kako cha Upole.Hivyo waongeze kiwango cha pesa na kujisahaulisha pia
Leo umenichekesha, unatakiwa kumsifu mwanaume abayetumia condom anajali afya yako huyoWakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.
Mbona mna kuwa wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Kwenye washing machine karatasi zinaharibu machine, lazima tupige search kwa usalama na utunzaji mzuri wa nguo na machine.aunt flani hivii amazing ila hajisahau kuchochea mahaba., zama hizi za washing machine na dry-cleaning services bado anapiga hand wash sarawili za ankoli , imekaa kimkakati wa kufuma receipt za malipo na ushahidi hivii wa matendo saliti.
Wa ajabu sana hawa jamaaHoja kuu ni Kwanini wanakua wapole tulikuwa condoms?
Mi ni hatari sana mkuuSikutegemea we Dada Utaandika Haya Na Kasura kako cha Upole,
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Aisee! Kazi tunayo......Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.
Mbona mna kuwa wapole tunapokuta condoms mifukoni?