Ukikuta hela kwenye mifuko ya suruali wengi tunazichukulia ni ujira wa kazi ya dobi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,564
215,040
Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.

Mbona mna kuwa wapole tunapokuta condoms mifukoni?

a94542f0759a75916ea20d461c7aa4c37980ff2e.jpg
 
Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.

Mbona mna jua wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Ila papuchi tamu aisee...
 
Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.

Mbona mna jua wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Sio wote. Mimi natumia hio njia kujua uaminifu wa mwanamke. Wapo waliorudisha.. wapo ambao hawakurudisha. Nawakamata kwanza wajue ilikuwa mtego, na kazi wanakosa kimoja.
 
Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi.

Mbona mna jua wapole tunapokuta condoms mifukoni?
Bora hata ya ninyi mnaofua, kuna mizigo mingine mpaka kero
 
Aunt flani hivii amazing ila hajisahau kuchochea mahaba., zama hizi za washing machine na dry-cleaning services bado anapiga hand wash sarawili za ankoli , imekaa kimkakati wa kufuma receipt za malipo na ushahidi hivii wa matendo saliti.
 
aunt flani hivii amazing ila hajisahau kuchochea mahaba., zama hizi za washing machine na dry-cleaning services bado anapiga hand wash sarawili za ankoli , imekaa kimkakati wa kufuma receipt za malipo na ushahidi hivii wa matendo saliti.
Kwenye washing machine karatasi zinaharibu machine, lazima tupige search kwa usalama na utunzaji mzuri wa nguo na machine.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom