..jamani leo naomba tujadili jambo ambalo ulshawahi kutenda au kutendewa ukiwa shule ya msingi au mdogo ambalo lilikufehedhesha au had leo ukkumbuka huwa unacheka
...mimi nakumbuka nikiwa darasa la tatu kitabu kilipotea darasani kuna jamaa alikua ameiba ikawa bonge la noma sa jamaa aliyeiba akaona kimenuka akakiweka kile kitabu kwenye mkoba wangu sa waalim wakaamua kufanya msako wa kile kitabu wanakagua mmoja baada ya mmoja kwa kuwa mimi nilikua najiamini ni kawa wa kwanza kukaguliwa nimefungua mkoba wangu mara kitabu hiki hapa sikuamini macho yangu wanafunz wenzangu wakaanza kunizomea nakuniita mwiz.....hadi leo nkkumbuka huwa inanifehedhesha sana
...mimi nakumbuka nikiwa darasa la tatu kitabu kilipotea darasani kuna jamaa alikua ameiba ikawa bonge la noma sa jamaa aliyeiba akaona kimenuka akakiweka kile kitabu kwenye mkoba wangu sa waalim wakaamua kufanya msako wa kile kitabu wanakagua mmoja baada ya mmoja kwa kuwa mimi nilikua najiamini ni kawa wa kwanza kukaguliwa nimefungua mkoba wangu mara kitabu hiki hapa sikuamini macho yangu wanafunz wenzangu wakaanza kunizomea nakuniita mwiz.....hadi leo nkkumbuka huwa inanifehedhesha sana