Jana tumepata habari amefariki Prodigy, rapper maarufu wa Mobb Deep.Sickle cell,
Wapo baadhi wanao survive and inasemekana wakipita miama 18 alive basi wanakuwa n maisha as others.
Lakini mama na baba wanaweza kuwa na sickle cell au mmoj aKawa na sickle cell lakini mtoto akazaliwa ni career (sijui ndio inaandikwa hivyo) yaani akawa ame carry tu viashiria vya sickle cell na asiwe totally sickle cell victim. as albinism, wanazaa watoto weusi n ngozi zingine wanakuwa wamecarry vile vinasaba vya albinism na pengine generation ya 3 au ya 4 ndio atapatikana mwenye albinism.
Sickle cell,
Wapo baadhi wanao survive and inasemekana wakipita miama 18 alive basi wanakuwa n maisha as others.
Lakini mama na baba wanaweza kuwa na sickle cell au mmoj aKawa na sickle cell lakini mtoto akazaliwa ni career (sijui ndio inaandikwa hivyo) yaani akawa ame carry tu viashiria vya sickle cell na asiwe totally sickle cell victim. as albinism, wanazaa watoto weusi n ngozi zingine wanakuwa wamecarry vile vinasaba vya albinism na pengine generation ya 3 au ya 4 ndio atapatikana mwenye albinism.
Mmh. Haya, mi nilikumbuka biology form 4 huko.Nimetolea sickle cell kama mfano tu, lkn nilichomaanisha ni kwamba kama ukujua kwamba una ugonjwa wa kurithi kama na ambao mtoto wako ataishi kwa mateso hapa Duniani maisha yake yote , Je bado utazaa?
Ndio hivo others can survive than 18 years old.Jana tumepata habari amefariki Prodigy, rapper maarufu wa Mobb Deep.
Alikuwa na Sickle Cell. Amefarikina miaka 42.
Si michache hiyo.
How rap revolutionary Prodigy, dead at 42, overcame the pain of sickle cell anemia
mmmh hapo itabid kufikiri ila kama sio wa uangalizi sana poa tuHata kama unajua kwamba kiumbe utakachokileta kitahitaji uangalizi wa masaa 24 maisha yake yote?
Kama ukijua kwamba wewe na mke wako wote mna Ugonjwa ambao ni wa kurithi kama vile sickle- cell, au ukichaa, Je bado mtaleta kiumbe hapa Duniani ijapokuwa mnafahamu kwamba hakitaishi muda mrefu kablA ya kufariki tena kwa mateso makubwa?
Sickle cell,
Wapo baadhi wanao survive and inasemekana wakipita miaka 18 alive basi wanakuwa na maisha as others.
Lakini mama na baba wanaweza kuwa na sickle cell au mmoja aKawa na sickle cell lakini mtoto akazaliwa ni career (sijui ndio inaandikwa hivyo) yaani akawa ame carry tu viashiria vya sickle cell na asiwe totally sickle cell victim. as albinism, wanazaa watoto weusi n ngozi zingine wanakuwa wamecarry vile vinasaba vya albinism na pengine generation ya 3 au ya 4 ndio atapatikana mwenye albinism.