Hakuna mahali salama kama moyoni, anayekuweka moyoni amekuthamini sana, kutokana na moyo kuwa nyumba iliyojengwa na MUUMBA.
Ila ukiiweka nafsini au kwenye incha ya ulimi ni rahisi kuwa mhanga wa anguko ambalo hutaweza kusimama tena.
Moyo ni eneo salama na ukijua umewekwa moyoni basi muheshimu sana aliyekuweka moyoni wala usimuumizee.
UKIPENDWA PENDEKA
Ila ukiiweka nafsini au kwenye incha ya ulimi ni rahisi kuwa mhanga wa anguko ambalo hutaweza kusimama tena.
Moyo ni eneo salama na ukijua umewekwa moyoni basi muheshimu sana aliyekuweka moyoni wala usimuumizee.
UKIPENDWA PENDEKA