Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku watu tunaenda na simu na zinarudi salama.Acheni kuwatisha watu wa mikoani[/QUOTE
Sure, Maana kuibiwa ni uzembe wako mwenyewe.
Mtaa wa Congo ni noma......mi naweza maliza miaka 2 sijaingia huo mtaa.
Waliniliza kitambo sana....waliniliza jeneza langu "Nokia 3310"Hahahaha mkuu walishakuliza nn
Mi jamaa akataka kuniliza laptop na kiwembe chake. Nikamwambia aisee nimekulia ugali wa mtama; kama unafikiri nimekulia chips na maembe ya pilipili umenoa nikamtia kabali mpaka akapoteza netiweki nikamuacha wenzake wanampepea nikasepa.Waliniliza kitambo sana....waliniliza jeneza langu "Nokia 3310"