nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 799
No mbona maswali ya kawaida sana hayo labda kama maandalizi hayakufanyika so huyo 93 sio ajabuIla mtihani haukuwa mgumu huo aisee kujieleza sio tatizo, ila huyo wa 93 atakuwa alikuwa na mark scheme ka wale wa TRA Hadi mitihani ikafutwa