NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 637
Wakuu habarini zenu?
Nimekuwa nikitafuta maana ya huu msemo sehemu mbalimbali hatimae nikakutana na babu 1 hapa ofisini kwetu akaniambia Firauni alikuwa Mfalme na Moses Kijakazi, siku moja mke wa tajiri na kiongozi mwenye nyadhifa ya juu serikalini alimbaka Moses bila hiyana Moses akakataa lakini yule mama kwa kujihami akamshataki Moses kwa kujaribu kubaka na kumfikisha kwa kiongozi/mfalme Firauni. Yule mama akadai madhara makubwa aliyoyapata ni kupata miscarriage kwani alikuwa na ujauzito.
Firauni baada ya kuelezwa tukio zima akamhukumu Moses kukaa/kuishi na yule mama kwa mwezi mzima au zaidi mpaka apate ujauzito......
Jamani ni kweli au nimedanganywa naomba nijuzwe story behind this famous quote.
Nimekuwa nikitafuta maana ya huu msemo sehemu mbalimbali hatimae nikakutana na babu 1 hapa ofisini kwetu akaniambia Firauni alikuwa Mfalme na Moses Kijakazi, siku moja mke wa tajiri na kiongozi mwenye nyadhifa ya juu serikalini alimbaka Moses bila hiyana Moses akakataa lakini yule mama kwa kujihami akamshataki Moses kwa kujaribu kubaka na kumfikisha kwa kiongozi/mfalme Firauni. Yule mama akadai madhara makubwa aliyoyapata ni kupata miscarriage kwani alikuwa na ujauzito.
Firauni baada ya kuelezwa tukio zima akamhukumu Moses kukaa/kuishi na yule mama kwa mwezi mzima au zaidi mpaka apate ujauzito......
Jamani ni kweli au nimedanganywa naomba nijuzwe story behind this famous quote.