Ajabu sana hii... mbengu ni nyingi kuliko mazao.
Ulitakiwa upande coin then uvune noti! Ila kwa ukulima wako lazma maisha yatakuwa magumu tu
Kama za mpiga nanihiiAjabu sana hii... mbengu ni nyingi kuliko mazao.
Teh teh teh Nina jamaa zangu kama watano hivi wa familia moja walizamiaga USA miaka ilee mpk Leo wapo huko hata hatujuagi wanafanya nini huko huku tumeshazika baba na mama yao hata mmoja hawajarudiLife la uku si mchezo mazee..
Nimecheka sana mkuu!Ajabu sana hii... mbengu ni nyingi kuliko mazao.
Teh teh teh Nina jamaa zangu kama watano hivi wa familia moja walizamiaga USA miaka ilee mpk Leo wapo huko hata hatujuagi wanafanya nini huko huku tumeshazika baba na mama yao hata mmoja hawajarudi
Duh umeniacha hapo vipusa ni watu wa aina gani?ujue vipusa hao!
Pesa inawapiga chengaTeh teh teh Nina jamaa zangu kama watano hivi wa familia moja walizamiaga USA miaka ilee mpk Leo wapo huko hata hatujuagi wanafanya nini huko huku tumeshazika baba na mama yao hata mmoja hawajarudi