Ukiishi kwa mzoea na kutaka kusaidiwa kila kitu hyo ndo matokeo yake

lumy

Member
Aug 14, 2015
21
8
Mwanafunzi aliyezoea kuigilizia majibu kwa wenzie huonekana nae ni miongoni mwa wanafunzi bora zaid darasani ila ikatokea siku akapewa mtihani aufanye peke ake lazima atafeli tuu na anetegemea msaada hasirani huishia kusubiria tu na kuwa wa mwisho km hatoongeza juhudi ya kuutafuta msaada huo poleni watanzania tunaosubiria misaada na kuishi kwa mazoea ni hayo tu
 
Mwanafunzi aliyezoea kuigilizia majibu kwa wenzie huonekana nae ni miongoni mwa wanafunzi bora zaid darasani ila ikatokea siku akapewa mtihani aufanye peke ake lazima atafeli tuu na anetegemea msaada hasirani huishia kusubiria tu na kuwa wa mwisho km hatoongeza juhudi ya kuutafuta msaada huo poleni watanzania tunaosubiria misaada na kuishi kwa mazoea ni hayo tu
Hivi nyie mnetumwa ama vipi..
hivi hua mnafikiria kwa undan na kuchambua kwa kina au hua mnaropoka juu kwa juu kwamba watanzania wanasubiria msaada kana kwamba ni wavivu ...
gazet moja la leo linamuonesha mkuu wa wilaya wa handeni godwin gondwe anatoa machoz kwa kuona sehem moja wanashindia maembe...nakushaur wewe mtoa mada funga safari nenda huko vijijini kakutane na wakuu wa wilaya kakutane na wenyekiti wa vijiji kaongee na wanavijiji na waananchi uone kwa maacho yako na uchambue kwa kina unayoyaona na unayoambiwa lakin sio kukaa nyuma ya keyboard na kuwaita watanzania wavivu na kwamba wanasubir tu msaada,na wakaat hujui kwa undani kinachoendeleea... mshukuru Mungu wewe pengine unakula milo 7 kwa siku ndo manna una nyodo kuongea humu
 
Back
Top Bottom