Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Wamasai, hii ndio jamii pekee ambayo ukiingia nayo kwenye mahusiano ya kimapenzi, haina historia ya kuvunja mahusiano
Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Mmeruu nare ndu?Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Unajivunia hivyo, mbona hujavaa shuka Yelo....umepoteza identify yakoNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Masai gani wewe hujavaa kanikiNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Wamasai, hii ndio jamii pekee ambayo ukiingia nayo kwenye mahusiano ya kimapenzi, haina historia ya kuvunja mahusiano
Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Hamna kitu apo, Jina la kimeru tena wa sura uko mlimani mkuu inakuaje unajiita masai, au ndio kukimbia asili yakoNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Wewe unaonaje?Tangazo ama?
Kwani majina yote unayoyaona humu ni ya kweli?Hamna kitu apo, Jina la kimeru tena wa sura uko mlimani mkuu inakuaje unajiita masai, au ndio kukimbia asili yako