Ukiijua hii Saikolojia na tabia ya Askari Polisi, hawatakusumbua sana

Naomba unijibu.

Unaweza jua wanawake anaotembea nao baba yako?
Unaweza ukaelewa kutokana na kashifa za kifamilia.

Mfano kinamama mahawara zake kuleta malalamiko ya matunzo ya watoto na wengine kuja kutelekezea wadogo zako mlangoni kwenu ajili ya kutopata matunzo ya baba yao.

Ama ugomvi wa baba na mama nyumbani kwenu unaotokana na mzee kubobea kwenye nyumba ndogo zake na kutelekeza familia yenu na mambo kama hayo nk nk.

Kwa mtu mzima hauwezi kushindwa kuelewa tabia halisi za wazazi wako kwa kuwa unaishi nao.

Katika 'komenti' yako ilitakiwa umsafishe pia kwa hilo ili tukuunge mkono kuondoa dhana dhaifu za wadau kuwa wanajeshi ama polisi ni wakorofi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukaelewa kutokana na kashifa za kifamilia.

Mfano kinamama mahawara zake kuleta malalamiko ya matunzo ya watoto na wengine kuja kutelekezea wadogo zako mlangoni kwenu ajili ya kutopata matunzo ya baba yao.

Ama ugomvi wa baba na mama nyumbani kwenu unaotokana na mzee kubobea kwenye nyumba ndogo zake na kutelekeza familia yenu na mambo kama hayo nk nk.

Kwa mtu mzima hauwezi kushindwa kuelewa tabia halisi za wazazi wako kwa kuwa unaishi nao.

Katika 'komenti' yako ilitakiwa umsafishe pia kwa hilo ili tukuunge mkono kuondoa dhana dhaifu za wadau kuwa wanajeshi ama polisi ni wakorofi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakutokea mtu nje kudai matunzo.

Sikushuhudia ugomvi wa ugoni.

Ningefanyaje ili nijue kua ana kazi za nje?
 
WEWE NI ASKARI. ASKARI HAWANA SUPERIORITY COMPLEX. WANA INFERIORITY COMPLEX ndo Maana wanakuwa WAOGA NA WENYE HASIRA SABABU WENGI NI WALIO FAIL. HAT SAIKOLOJIA HUIFAHAM. KILAZA TU. MTU MWENYE SUPERIORITY COMPLEX ANAPUUZA MAMBO MENGINE. Askari sababu anaji feel inferior ndo anataka aogopwe au anakuwa mbabe. Ukimwelimisha anaona ni sababu unamwona hana elimu au ni mtu wa chini anaishia kuwa mkali na mbabe
 
WEWE NI ASKARI. ASKARI HAWANA SUPERIORITY COMPLEX. WANA INFERIORITY COMPLEX ndo Maana wanakuwa WAOGA NA WENYE HASIRA SABABU WENGI NI WALIO FAIL. HAT SAIKOLOJIA HUIFAHAM. KILAZA TU. MTU MWENYE SUPERIORITY COMPLEX ANAPUUZA MAMBO MENGINE. Askari sababu anaji feel inferior ndo anataka aogopwe au anakuwa mbabe. Ukimwelimisha anaona ni sababu unamwona hana elimu au ni mtu wa chini anaishia kuwa mkali na mbabe
Umetumia maneno makali sana dhidi ya askari
 
Polisi wasenge tu , mimi hawanitishi kwa lolote hao mbwa , wakini zingua tunatwangana ngumi tu . Nilishawahi mfumua pongo
 
1. police wa bongo dawa yao ndogo! kuwa mkimya tii amri lakini with authority. mfano muanze wewe kumsalimia tena mwambie 'POT kWEMA?' Hapo nakwambia 50% ya comfo linamuisha. muongeleshe halari za kikazi za kipolisi kama kuna tukio ama operation unayoijua inaendelea wewe ndio umwambie na umsifu na kulisifu jeshio la polisi na makamda wake na kama uko wilaya au mkoa huyo mwaga sifa kwa kiongozi wao ukimtaja jina na ukionesha mna mahusiano. i.e nitamwambia Mambosasa tukiktana hili......... halafu mwambie enhee kulikoni pot ? hapo atakwambia sababui za kukusimamisha wakati mwingine atakwambie nenda au atatunga sababu isiyo na maana na hapo utaambiwa ondoka.

2. kama ni mpitaji wa barabara hiyo (hasa traffic) basi uqwe na kawaida huna kosa unasimama unawasalimia na kuwasifia kama una maji ya 1/2 katikia gari wape hasa kama kuna jua kali! usiwape hela, sasa hapo ushweka bima!! anytime ukisimamishwa basi wanaambiana achana na huyo!! mpo?
 
Lakini silaha ya mwisho tuwe watii wa sheria ili wakija kichwa kichwa hasa wale hardliners bassi wanakwama!
 
Maelezo marefu kweli kweli safi sana.

Askari shupavu anakamilisha cycle ya W? Siyo kweli. Hii iko kwenye muvi zaidi na maandiko ya mitandaoni.

Kwamba Mabeyo na Siro wanapiga ulabu kushinda Jibapa?

Sababu pekee sinywi pombe ni kwasababu katika familia nilikosa wa kuchagiza hata kuionja pombe.
Baba ni mwanajeshi mstaafu, hajawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara tangu napata akili mpaka leo. Wanawake siwezi kumsemea, ubabe najua hana ni civil sana.

Psychologically askari anaact shit siyo kwasababu ya superiority ila ni kwa sababu ubongo wa binadamu uko programmed hivyo. Yaani hata leo Humble African ukikabidhiwa mamlaka ya kuamua hatma ya mustakabali wa mtu una chance nzuri ya kua sadist soon.

Hiyo iko proved na experiment hii
Stanford prison experiment - Wikipedia

Au kwenye muvi ya Forest Whitaker inaitwa The Experiment.
Hii theory naweza kuikubali pia.
 
Back
Top Bottom